Baby Powder yaweza kusababisha saratani/cancer

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,655
Reaction score
2,506
Kampuni ya Johnson & Johnson inayotengeneza Baby Powder imepoteza kesi ya $55 millioni baada ya kushitakiwa na mwanamke aliyepata sarakani ya ovari aliyodai imetokana na matumizi yake ya baby powder.

Hii ni kesi ya pili Johnson & Johnson iliyopoteza ya Baby Powder kusababisha saratani. Kampuni hiyo inakabiliwa na kesi zaidi ya 1,200 za madai kama hayo.

Source: Johnson & Johnson loses another court case over talcum powder and cancer

 
Huku kwetu hadi sukari guru tunauziwa. Watu hawana habare...Tehe
 
Mods correction kwenye title spelling ya saratani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…