ivi kweli gadiola ndo kamshindwa morinyo? inaonekana sasa bacelona inatoka kwenye mbio zakuusaka ubingwa wa hispania hawezekani uachwe point 3 mpaka zinafika kumi. hii ni aibu kwa kocha kama gadiola, kweli tutachukua ubbingwa kwastail hii? hajama wanaikamata baca ndo kusema wamewajua staili yao ya uchezaji? mbona madrid tunawakamata? au wachezaj wanazarau clab zingine
sis tunataka ubingwa campneu