Bacca hajawahi kuwa na ubora anaoimbwa nao ni average and midocore deffender

Bacca hajawahi kuwa na ubora anaoimbwa nao ni average and midocore deffender

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habari za mda huu

Toka naanza kusikia siza zake na fist match namuona NIKAGUNDUA watanzania Huwa tunasifia mtu Kwa kufuata mkumbo bila kuangalia kiufundi

Beki wa yanga BACCA Kila match anayocheza hufanya makosa mengi mno ambayo kama wapinzani wangalikuwa wote wanakuwa makatiki asingekuwa ata anapagwa

1. HAWEZI KUKABA 1V 1

2. HAJUI KUPIGA PASS
 
Leta timu lako
1000194626.png
 
Habari za mda huu

Toka naanza kusikia siza zake na fist match namuona NIKAGUNDUA watanzania Huwa tunasifia mtu Kwa kufuata mkumbo bila kuangalia kiufundi

Beki wa yanga BACCA Kila match anayocheza hufanya makosa mengi mno ambayo kama wapinzani wangalikuwa wote wanakuwa makatiki asingekuwa ata anapagwa

1. HAWEZI KUKABA 1V 1

2. HAJUI KUPIGA PASS
So what?
 
Wrong. Baka ni mzuri kuliko unavyofikiria uwezo wa mchezaji haupimwi kwa mechi moja mbili. Lile goli limetokea Baka alipoteleza,

Walichofeli Yanga n namna walivyo kua wanaacha goli bila ulinzi wa kutosha na kushindwa kutengeneza nafasi za magoli.

Ball possion : Yes! walijitahidi.
 
Wrong. Baka ni mzuri kuliko unavyofikiria uwezo wa mchezaji haupimwi kwa mechi moja mbili. Lile goli limetokea Baka alipoteleza,

Walichofeli Yanga n namna walivyo kua wanaacha goli bila ulinzi wa kutosha na kushindwa kutengeneza nafasi za magoli.

Ball possion : Yes! walijitahidi.
Mfuatilia Kila mechi utaona madhaifu yake
 
Habari za mda huu

Toka naanza kusikia siza zake na fist match namuona NIKAGUNDUA watanzania Huwa tunasifia mtu Kwa kufuata mkumbo bila kuangalia kiufundi

Beki wa yanga BACCA Kila match anayocheza hufanya makosa mengi mno ambayo kama wapinzani wangalikuwa wote wanakuwa makatiki asingekuwa ata anapagwa

1. HAWEZI KUKABA 1V 1

2. HAJUI KUPIGA PASS
Kwangu Mimi Kwa TZ,Bacca is one of the best defenders,anachohitaji Kwa sasa ni muda mwingi wa kupumzika ili arejeshe nguvu,kingine asipokuwepo Aucho defence ya timu inakua weak sana kwakua cover nyingi anafanya yeye.
 
Toa madhaifu siku hata wakishinda sio unasubiri wapigwe ndo unakuja na hizi hoja za kuzoa kijiji...

Wachambuzi wengi kibongobongo ndio wako hivyo, kesho watawananga mno wachezaji wa yanga hata waliocheza vizuri.
 
Kwangu Mimi Kwa TZ,Bacca is one of the best defenders,anachohitaji Kwa sasa ni muda mwingi wa kupumzika ili arejeshe nguvu,kingine asipokuwepo Aucho defence ya timu inakua weak sana kwakua cover nyingi anafanya yeye.
Ni mbovu mno na saivi ujinga wake unaenda kuonekana
 
Mfuatilia Kila mechi utaona madhaifu yake
Angekua si mzuri then tusinge chukua kombe hata moja,
Msimu huu kwenye mechi kumi tumeshinda 8 moja alitolewa kwa kadi . Unaprove nini tena ?

Kijana jitathmini .
 
Angekua si mzuri then tusinge chukua kombe hata moja,
Msimu huu kwenye mechi kumi tumeshinda 8 moja alitolewa kwa kadi . Unaprove nini tena ?

Kijana jitathmini .
Kutolewa Kwa kadi ni mwendelezo wa wehu wake
 
Angekua si mzuri then tusinge chukua kombe hata moja,
Msimu huu kwenye mechi kumi tumeshinda 8 moja alitolewa kwa kadi . Unaprove nini tena ?

Kijana jitathmini .
Makombe ya dhuluma Yanga haijawahi kuchukua Kombe kihalali ni dhuluma mtupu
 
Back
Top Bottom