Bacha......................Happy Birthday!!!!!!!

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,273
Napenda kuchukua fursa hii kwa upendo wa dhati kabisa kukutakia maisha mema na marefu kwa siku yako ya kuzaliwa.

Mungu akupe nguvu, hekima, uwezo, na afya njema kwa miaka zaidi 100000 ijayo!!

Happy Birthday BACHA!!!!!!!

Wana JF tuungane kumpongeza ndugu, rafiki yetu mpendwa Bacha kwa kuongeza umri katika maisha yake. Mungu awabariki sana!!!!

Regards

DA
 

Attachments

  • cake442[1].jpg
    19.5 KB · Views: 108
HBDay Bacha nakutakia maisha mema yenye furaha na ushindi mnono wa kiungu liver longer like henoko!

Nakuja na singo moja ya ka wimbo hapa halafu utake Action fasta! Kata keki tuleex9 kata keki kata keki kata keki tulee! Ngoja nikachukue umma nakuja usiondoke
 
Happy birthday mazee.....
Keep scoring....
 
Happy BD Bacha
Live longer
Mungu akujalie uzao mkubwa na mrefu jina lako lisififie daima
 
Hongera mkuu Bacha kwa kuzidi kulisogelea kaburi.

Birthday party wapi nikapange viti?
 
Happy birthday Bacha!!
Mungu akupe maisha marefu,
Akupe nguvu nyingi kama Samsoni,
Na hekima nyingi kama Suleiman.
Usiwe mchoyo bacha, tukaribishe,
Kwenye birthday!!!
 
Happy birthday dear
hongera sana kwa kukimbilia uzee
huko ndiko kwenye busara na hekima nyingi..
usisahau wajukuu na vitukuu ukifika huko ....Amen
 


lol, asante Dena wangu,
ubarikiwe,lol miaka 1000, mmmh!
 
Hongera mkuu kwa kuongeza uzee na hekima inazidi kuongezeka pia maana ukubwa nao dawa
 

asante Derimto!,
nakasubiri hako ka wimbo!!!!
 
Tata wahongeramo kutiki go?!!

Happy Birthday!!!!!!
 
Happy birthday mazee.....
Keep scoring....

Thanks kiongozi wangu,
salute kubwa kwako!,
kwa support yako nadhani kila siku naweza kuwa mshindi!!!!!
 
Hongera mkuu kwa kuongeza uzee na hekima inazidi kuongezeka pia maana ukubwa nao dawa

Aisee Mlimazunzu hapo umegonga kwenyewe,
hekima kweli sasa inachukua mkondo wake!!!!
 
Happy Birthday Bacha ila uache ule mchezo mkuu.....:lol::lol:
 
Ha ha ha ha nakuombea ufike hiyo miaka bana

mmmmh,unajua kwa maisha haya sasa,
ukishagonga 65 tu,mateso yanaanza!!!!
hakuna tena furaha bali ni karaha, sembuse 1000!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…