Mleta mada,
Hakuna ofisi ya serikali/shirika la serikali au taasisi ya serikali ambayo haina kitengo/idara/kurugenzi ya raslimali watu.
Ofisi nyingi za binafsi uwa zina outsource kwa makampuni binafsi kufanya kazi za usahili ili kupata wafanyakazi wao.
Human resource management ni taaluma nzuri na yenye fursa rukuki za ajira (kuajiriwa na kujiajiri).
Jambo la msingi ni uwe umeipenda, uwe tayari kusoma taaluma hiyo kwa bidii na uielewe kwa undani, kila kitu kitakuwa safi.
"Akili za kuambiwa, changanya na zako" by Jakaya kikwete.