bachelor degree ya accounts IFM vs bachelor degree ya accounts TIA

Krama

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
293
Reaction score
78
Naomba kwa anayefahamu kati ya bachelor degree ya accounts IFM vs bachelor degree ya accounts TIA ipi yenye uhakika wa ajira zaidi anijuze wakuu.
 
Naomba kwa anayefahamu kati ya bachelor degree ya accounts IFM vs bachelor degree ya accounts TIA ipi yenye uhakika wa ajira zaidi anijuze wakuu.

Mhh...Hivi wewe mpaka wa leo bado una mawazo ya kusoma ili uje uajiriwe. Pole sana. Usipobadilisha hayo mawazo uliyo nayo itakula kwako kama wafuasi wa Kibwetere.
 
Ngoja tumsaidie hivo hivo atakuja kufunguka huko mbele. Nenda TIA mkuu. Kwanza Accounts siku hizi kila kona ipo watu wanakandamiza vitabu. Hamna jipya. Ya IFM au TIA au Tumaini au UD accounts ni ile ile. Debit haiwezi kuwa credit hata siku 1.
Period

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

thanx mkuu kwa ufafanuz wako.. Ila kwa mfano m2 wa IFM na m2 TIA wameomba kaz sehemu moja ni yupi watamconsider zaidi?
 
Mhh...Hivi wewe mpaka wa leo bado una mawazo ya kusoma ili uje uajiriwe. Pole sana. Usipobadilisha hayo mawazo uliyo nayo itakula kwako kama wafuasi wa Kibwetere.

nimekupata ila me nliuliza endapo kama ajira ztakuwepo ni yup atakuwa na wigo mpana wa kuajiriwa,, KUULIZA SIO UJINGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…