baest
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 273
- 168
Za mchana huu wrote, wakubwa shimamoo..
Mimi no mwanafunzi Wa kozi tajwa hapo juu...
Ninaomba upembuzi Wa uwezekano Wa kusoma master ya biostatistics kama ufaulu utakuwa umejitosheleza.
Ila o level nilisoma masomo ya biashara INA mana fizikia na kemia sikusoma biology nilipata alama A
A level nilisoma EGM( economic, geography na advanced mathematics)
Nitashukuru kwa msaada wenu..mbarikiwe sana
Mimi no mwanafunzi Wa kozi tajwa hapo juu...
Ninaomba upembuzi Wa uwezekano Wa kusoma master ya biostatistics kama ufaulu utakuwa umejitosheleza.
Ila o level nilisoma masomo ya biashara INA mana fizikia na kemia sikusoma biology nilipata alama A
A level nilisoma EGM( economic, geography na advanced mathematics)
Nitashukuru kwa msaada wenu..mbarikiwe sana