Bachelor of arts in public administration

knaan

Senior Member
Joined
Oct 17, 2011
Posts
143
Reaction score
26
wadau ningependa kufahamu uzuri wa kozi hii kuwa ipo marketable halafu unaweza kufanya kazi kama nani ukiacha human resource officer?
Asante
 
Hiyo course ina ubana wa ajira maana unaweza kuingia sehemu nyingi , unaweza kuwa administrator na tabua kuwa office nyingi lazima ziwe na maadministrators. Ila kwa sasa inacompitition sana maana watu wengi wemesoma iyo course.
 
Asante mani h
Mimi pia nasoma kozi hii nipo first year.
 
kama ndio unategemea kuisoma chuoni achana nayo mkuu!ila kama ushaanza endelea nayo tu utajua mbele ya safari
 
Hiyo course ni hovyo kabisa,sana sana ukihangaika kutafuta kazi uakuwa customer care kwenye benk au kwenye kampuni za simu!
 
Asante kwa maoni yenu
 
Hakuna course mbaya we soma zen ukimaliza na umefaulu vzr ndo utajua uzuri wa hiyo course
 
Kasome hayo macourse yenu ya kibraza men na kisista duu harafu mje kukaa vijiweni kitaa!
 
Kozi yoyote ile inalipa ilimradi ufaulu vizuri, kwahiyo kaza msuli dogo utafanikiwa MBONA LOWASSA KASOMA KUNENGUA PALE MLIMANI NA ANAPETA TU INGAWA ZA UWIZI...
 
Maoni yenu zaidi nahitaji
 
Nafahamu kuwa ukisoma utawala unaweza kuwa human resource officer , public relation officer zingine je ....
 
Utaishia kuwa police kama kova.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…