Bachelor of Business Administration with Education (BBA. Ed.)

Njowepo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
9,710
Reaction score
2,240
Naomba nifafanuliwe ivi aliyemaliza iyo kozi atakuwa Mwalimu au Admnistrator?
Hopefull atakuwa Mwalimu kwa nini wasingeiita BED.
Designing ya haya majina kwa kweli ni very tricky.
AU kama wale wanaotoa BAF ie bachelor of accounts and finance wakati izo ni degree 2 tofauti ktk vyuo vingine huu sio usanii mbaya zaidi wote unakuta 3 years course.
Tupunguze usanii kwenye professional jamani
 
Naomba nifafanuliwe ivi aliyemaliza iyo kozi atakuwa Mwalimu au Admnistrator?
Hopefull atakuwa Mwalimu kwa nini wasingeiita BED.
Designing ya haya majina kwa kweli ni very tricky.

Huyo atakuwa Administrator na ni mwalimu katika hiyo fani. Kimsingi anasoma course zote za administration, ila anakuwa na workload ya ziada kwenye mambo ya ualimu kama education, psychology n.k.

Hivyo hivyo kwa anaesoma BCOM (With Education) ambapo anaweza specialize kwenye Accounts lakini anakuwa na workload ya ziada kwenye masomo ya education. Hapo, hakuna usanii, ndivyo ilivyo.

Pia kuna tofauti kati ya BSc. or Bachelor of Arts with education na Bachelor of Education.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…