Bachelor of Bussiness Administration ina mkopo katika chuo cha UDSM?

Bachelor of Bussiness Administration ina mkopo katika chuo cha UDSM?

Soja mkopo wa nini, masoja si mnaweza kuishi popote na mazingira yoyote??

Enewei, kwanza ondoa mawazo ya kua kozi fulani ndio ina mkopo na hii haina mkopo.
Kama uliapply vizuri na una vigezo utapata mkopo bila kwa hiyohiyo kozi yako kijana, ondoa wasi.

Na kubwa zaidi soma kozi ulioitaka ili kutimiza malengo yako, sio unachagua kozi kwa kushauriwa ati ni kozi itayofanya upate mkopo kirahusi..

Waliochagua kozi kwa namna hiyo mwishoni mwa utawala wa JK na utawala wa JPM waliuona moto wa kifuu.
 
Soja mkopo wa nini, masoja si mnaweza kuishi popote na mazingira yoyote??

Enewei, kwanza ondoa mawazo ya kua kozi fulani ndio ina mkopo na hii haina mkopo.
Kama uliapply vizuri na una vigezo utapata mkopo bila kwa hiyohiyo kozi yako kijana, ondoa wasi.

Na kubwa zaidi soma kozi ulioitaka ili kutimiza malengo yako, sio unachagua kozi kwa kushauriwa ati ni kozi itayofanya upate mkopo kirahusi..

Waliochagua kozi kwa namna hiyo mwishoni mwa utawala wa JK na utawala wa JPM waliuona moto wa kifuu.
asante kwa ushauri nitaufanyia kaz
 
Back
Top Bottom