Bachelor of education in special needs.=msaada tafadhalini

Liobite

Senior Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
126
Reaction score
37
Msaada wana jamvi,naomba nifahamishwe hii kozi Bachelor of education in special needs ajira zake unafanya kazi wapi? na je,uhakika wa ajira upo? Pia nahitaji taarifa za field huwa wanafanyia wapi kwani naona shule zake ni chache sana hapa Tz. Mimi nimechaguliwa UDOM 1st year
 
Mmmmh...nikikuambia ukweli utakata tamaa mwishowe uichukie bure,bora nikudanganye kua hiyo cozy iko poa....utameki pesa mpaka ufurahi na nafsi yako
 

Kazi zake zipo katika mashule ya watoto wenye mahitaji maalum karibu katika kanda zote za tz,uhakika wa ajira upo kama ilivyo kawa walimu wengine,field huwanywa katika shule hizo hizo ili uwezejua mazingira halisi ya kazi ikiwa ni pamoja na changamoto zilizopo.MWISHO Honera kwa kuchaguliwa kozi hiyo kwani mbali ya taaluma hiyo hukuweka karibu zaidi na Mungu kwa huduma ya watoto hao .
 
Kama unaweza soma ualimu huo na teaching subject mojawapo ili uwe na uwanja mpana, ikibuma huko, utaweza fanya kazi kama mwalimu wa somo la kawaida.
 
shule hizo ziko nyingi bt inahitaji moyo wa kujitolea
 


Kuna jamaa'angu kamaliza hiyo kitu SEKUKO Tanga akitokea Dip ya education...
Baada ya kumaliza degree kakosa ajira,karudi darasani na chet chake cha diploma
 
Mmmmh...nikikuambia ukweli utakata tamaa mwishowe uichukie bure,bora nikudanganye kua hiyo cozy iko poa....utameki pesa mpaka ufurahi na nafsi yako

Ahsante mkuu kwa kunidanganya endelea na moyo huo
 

hasante mkuu kwa taarifa
 
kasome ndugu nchi ya kisiasa ndugu utaalamu haujaliwi ukimaliza utapata post km walimu wengine.
 
Mim pia nasoma hiyo koz, ukiachilia mbali hyo special needs education, wewe bado ni mwalimu wa kawaida, kwani unasoma kozi zote za education, plus 1 or 2 teaching subjects,

Kwa hyo field unaweza fanya katika shule au chuo chochote cha ualimu, na si lazima pawe na wanafunz wa mahitaji maalum. Mf. Mim mwaka huu nimefanya field chuo flan cha ualimu, na wenzangu kadhaa walifanya field mashulen.

By the way, karibu sana udom.
 

Ahsante sana mkuu
 

asante mkuu kwa taarifa hiyo,binafsi nimeku elewa coz nami pia nimechaguliwa hiyo hyo hapo UDOM
 

twende 2kapige ktabu kjana coz na mimi nimechaguliwa hyo hyo hapo UDOM-1st year
 
2takuwa College Moja Mkuu,ila Me Nipo Bed Guco,2kutane Octaber 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…