Bachelor of education with special need-udom

Mi nimechaguliwa bachelor of education with special need udom.vp ajira zake zikoje mtu akimaliza?NAWAKARIBISHA WATU WOTE WENYE HEKIMA KWA MAWAZO YENGE HEKIMA

Utaenda kufundisha kwenye shule za watu wenye mahitaji maalumu' mfano Uhuru mchanganyiko
 
Hata usiumize kichwa ajira za walimu zipo tu, utafundisha secondary.
 
Unaweza kupelekwa chuo cha diploma ukawa mkufunzi, ukapangiwa sekondari za watu wenye ulemavu wa viungo au akili. Kama kutakuwa kumejaa unapelekwa sekondari za kawaida. Hiyo kozi inaitwa: "Bachelor of Education In special needs"(BED-SPED)
 
mdogo wangu usijal field utafanya hata sekondari mm nimesoma hapo Bed Guco watu km wa ww tulifanya nao field shuleni we muhimu ni kuwa makini umsikilize vizuri madam Pembe.
 
Wewe komaa tu hiyo itakutoa kwenye maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…