Bachelor of health system in monitoring and evaluation

Bachelor of health system in monitoring and evaluation

KISUNZU YP

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
114
Reaction score
37
Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu.

Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo yaani 2022/2023 kuna kozi imeanzishwa bachelor yake ilikuwa ngazi ya Masters tu pale Mzumbe sasa changamoto yake ni kwamba bado haina ikama kwa sisi tulioajira kwa mamlaka za serikali za mitaa yaani Mkurugenzi.

Maana yake kufanyiwa Recategorization itakuwa issue sasa naomba kusaidiwa kwamba nikimaliza kozi hyo naweza fanya kazi gani na wapi???


Karibuni sipendi matusi
 
Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu.
Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo yaani 2022/2023 kuna kozi imeanzishwa bachelor yake ilikuwa ngazi ya Masters tu pale Mzumbe sasa changamoto yake ni kwamba bado haina ikama kwa sisi tulioajira kwa mamlaka za serikali za mitaa yaani Mkurugenzi.
Maana yake kufanyiwa Recategorization itakuwa issue sasa naomba kusaidiwa kwamba nikimaliza kozi hyo naweza fanya kazi gani na wapi???


Karibuni sipendi matusi
Bachelor of health system management Haina ikama kivipi wakati wanaosoma hiyo Huwa makatibu wa afya?
 
Soma vizuri kozi hiyo ndugu. Siyo Health system management
Hizo ni nakshi tu lakini kozi ni Ile Ile.

Mfano, Kuna Kozi inaitwa Bachelor of science in Environmental health sciences ( MUHAS )

Lakini RUCU wakaanzisha kozi kama hiyo wakaita Bachelor of science in Environmental health sciences with ICT na inatambulika kwenye muundo kama hiyo hiyo.

Kwahiyo, issue ni hiyo hiyo
 
Ukimaliza hiyo kozi mshahara wako utakua kama ule ule wa co.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu.

Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo yaani 2022/2023 kuna kozi imeanzishwa bachelor yake ilikuwa ngazi ya Masters tu pale Mzumbe sasa changamoto yake ni kwamba bado haina ikama kwa sisi tulioajira kwa mamlaka za serikali za mitaa yaani Mkurugenzi.

Maana yake kufanyiwa Recategorization itakuwa issue sasa naomba kusaidiwa kwamba nikimaliza kozi hyo naweza fanya kazi gani na wapi???


Karibuni sipendi matusi
Hii program iko chuo gani?
 
Wadau habari za leo, naomba mwenye upeo wa kuelewa zaidi anipe ujasiri wa kuendelea na adhma yangu ya kwenda kusoma kozi tajwa hapo juu.

Mimi nipo kwenye system kama CO sasa mwaka huu wa masomo yaani 2022/2023 kuna kozi imeanzishwa bachelor yake ilikuwa ngazi ya Masters tu pale Mzumbe sasa changamoto yake ni kwamba bado haina ikama kwa sisi tulioajira kwa mamlaka za serikali za mitaa yaani Mkurugenzi.

Maana yake kufanyiwa Recategorization itakuwa issue sasa naomba kusaidiwa kwamba nikimaliza kozi hyo naweza fanya kazi gani na wapi???


Karibuni sipendi matusi
Nakushauri kwa sababu uko kwenye system nenda ukasome MD au pharmacy kama moja ya malengo yako ni kuongeza salary. Hiyo kozi unayo soma 3 years ukimaliza utaanza na TGS C au D
 
Back
Top Bottom