danmarc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 567
- 115
Habarini wakuu, mimi ni mmoja wa wahanga wa hii second round application sasa katika option za kuapply mara ya pili nimeiona hii na kidogo imenivutia mana lengo langu hasa ni kuhudumu katika sector ya qfya.
Sasa nataka mnijuze vipi hii program ina soko hapa Tanzania ? na upatikanaji wake wa ajira upoje ?.
Pia uzuri na ubaya wa hii bachlor. kwa kweli TCU wameyeyusha ndoto zangu kabisa.
Sasa nataka mnijuze vipi hii program ina soko hapa Tanzania ? na upatikanaji wake wa ajira upoje ?.
Pia uzuri na ubaya wa hii bachlor. kwa kweli TCU wameyeyusha ndoto zangu kabisa.