Bachelor of Medical Laboratory Sciences in Histotechnology

Bachelor of Medical Laboratory Sciences in Histotechnology

danmarc

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
567
Reaction score
115
Habarini wakuu, mimi ni mmoja wa wahanga wa hii second round application sasa katika option za kuapply mara ya pili nimeiona hii na kidogo imenivutia mana lengo langu hasa ni kuhudumu katika sector ya qfya.

Sasa nataka mnijuze vipi hii program ina soko hapa Tanzania ? na upatikanaji wake wa ajira upoje ?.

Pia uzuri na ubaya wa hii bachlor. kwa kweli TCU wameyeyusha ndoto zangu kabisa.
 
Wataalam watakuja kukupa ufatanuzi zaidi

Ulikuwa una ndoto za kuchukua course gani???
 
Nenda kasome ipo poa ajira moja kwa moja wengi wanasomea doploma hiyo bachelor wachache
 
wahi kufanya selection mapema ,ukifika chuo utabadilisha
 
Wataalam watakuja kukupa ufatanuzi zaidi

Ulikuwa una ndoto za kuchukua course gani???
Nilikuwa na ndoto za doctor of medicine na nilikuwa najiamini kuwa ningepata hata udom mana alama zangu hazikuwa mbaya kihivyo ila tayari TCU washafanya yao . Basi nimeshakubali hali halisi mana haya ndio maisha kaka
 
wahi kufanya selection mapema ,ukifika chuo utabadilisha

Nimeshafanya application ya hiyo program mkuu(jana usiku) ,na nimepewa message kwamba you are successfully selected. Vp hapo ni uhakika au utapita mchujo mwingine?
 
Nimeshafanya application ya hiyo program mkuu(jana usiku) ,na nimepewa message kwamba you are successfully selected. Vp hapo ni uhakika au utapita mchujo mwingine?

Haina mchujo tena hapo umeshapata hiyo.
 
Nilikuwa na ndoto za doctor of medicine na nilikuwa najiamini kuwa ningepata hata udom mana alama zangu hazikuwa mbaya kihivyo ila tayari TCU washafanya yao . Basi nimeshakubali hali halisi mana haya ndio maisha kaka



Daah ungejaribu mapema huko St Francis morogoro uone itakuwaje maana na chenyewe kinatoa doctor of medicine
 
Haina mchujo tena hapo umeshapata hiyo.

Ahsante mkuu na je hv inawezekana baada yakufika chuo kuchange na kwenda program nyingine ambayo tayari TCU walishatuambia haina nafasi wakati wa first selection?
 
Daah ungejaribu mapema huko St Francis morogoro uone itakuwaje maana na chenyewe kinatoa doctor of medicine
Ila hiki sikukiona kwenye hii list ya second application nadhani na chenyewe kilishajaa tangu mwanzo
 
Nimeshafanya application ya hiyo program mkuu(jana usiku) ,na nimepewa message kwamba you are successfully selected. Vp hapo ni uhakika au utapita mchujo mwingine?

Dogo nenda kasomee hiyo hiyo ya maabara kwani kazi ni direct entry haina longolongo, kujiendeleza ukiwa kazini pia ni rahisi sana kuliko hata hao Doctors (MDs), pia ukitaka kuanzisha Laboratory yako vifaa ni rahisi na haina mzunguko kama Doctor akitaka kuanzisha Clinic yake
 
Ahsante mkuu na je hv inawezekana baada yakufika chuo kuchange na kwenda program nyingine ambayo tayari TCU walishatuambia haina nafasi wakati wa first selection?


Kubadilisha inaawezekana only kama kozi unayoitaka ina nafasi na points zako zinaruhusu

Kumbuka sio wanafunzi wote huwa wanaripoti so nafasi zinaweza kutokea

Karibu MUHAS mkuu,nitaomba unibebe
 
Kubadilisha inaawezekana only kama kozi unayoitaka ina nafasi na points zako zinaruhusu

Kumbuka sio wanafunzi wote huwa wanaripoti so nafasi zinaweza kutokea

Karibu MUHAS mkuu,nitaomba unibebe
Haaaaahaaa Sawa mkuu , nikubebe kivipi?
 
Dogo nenda kasomee hiyo hiyo ya maabara kwani kazi ni direct entry haina longolongo, kujiendeleza ukiwa kazini pia ni rahisi sana kuliko hata hao Doctors (MDs), pia ukitaka kuanzisha Laboratory yako vifaa ni rahisi na haina mzunguko kama Doctor akitaka kuanzisha Clinic yake

Ahsante mkuu kwa ushauri kidogo ninapata faraja sasa
 
Bios-B ,Chem-B+ ,Phys-D (III- 10)

Wenyewe nimepata hiyo program pale MUHAS nina B+ B+ D bios chemia & physics respectively...sema nina waswas na mkopo maana wanasema possible amount of loan ni zero! Je hapo inakuwaje wakuu msaada hapo!
 
Wenyewe nimepata hiyo program pale MUHAS nina B+ B+ D bios chemia & physics respectively...sema nina waswas na mkopo maana wanasema possible amount of loan ni zero! Je hapo inakuwaje wakuu msaada hapo!
Mkuu na wewe uliomba kwenye hii second round au uliomba tangu mwanzo?
 
Bios-B ,Chem-B+ ,Phys-D (III- 10)

Nahis uliomba vyuo vyenye competition kubwa ndo maana. ungeomba vyuo kati ya IMTU,KCMC BUGANDO,KAIRUKI na KIU ungepiga medical kiulain. Ujue kwenye medical hua haijalishi umesoma chuo gani kikubwa ni kuchapa kazi na hata salary scale ni moja. Me vyuo vingi vya public siku hizi ni politics mno.
 
Back
Top Bottom