Bachelor of medical laboratory vs b.pharmacy

medical lab...n njemaa
jmn naomba mnweke waz nmckia kuna bachelor ya clincal medcne...hv imenza kutolewa kwelii na vyuo vngp tz? mna cc tuko tynkmbzna kutoka hku kwa dplm ya clncal medcne ..naomba mwangazaaaaaaaaa gys
 
Mimi naona b.pharm ni nzuri zaidi hasa katika kujiajiri kwenye ufunguzi wa pharamacy.
HANCE SIMON bachelor of clinical medicine si ndio u md ambao ukimaliza ndio unapewa title ya dr.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…