Hiyo course kibongo ni changamoto, kama ukisoma mwisho wa siku itakubidi kuongeza mwaka mmoja kusoma postgraduate diploma in education Ili ukawe mwalimu.Ipoje hii,na ni kwa muda gani?
Hiyo course kibongo ni changamoto, kama ukisoma mwisho wa siku itakubidi kuongeza mwaka mmoja kusoma postgraduate diploma in education Ili ukawe mwalimu.Ipoje hii,na ni kwa muda gani?
Yupo mmoja hapa aliomba ushauri alimaliza Bachelor degree in mathematics kuwa mwl hawezi sababu sio mwalimu yani kazi zake ni chache sana kuzipata mtaani.Baadhi ya kozi zilizoanzishwa kisiasa kwenye vyuo vya UDOM na UDSM kuna kipindi zilifutwa zikarudishwa tena,
Fursa yake kubwa ipo kama atapiga GPA za juu hapo anaingizwa kwenye Idara za Kemia na Fizikia vyuoni lakini kimsingi hao sio walimu wa secondary labda baadhi wanaweza kufit kwenye Chemistry/Physics Lab.
Ni kozi ngumu sana, refer matokeo ya mwaka huu UDSM hasa hiyo Phy madogo wanalia na wengi huahirisha chuo wakifika katikati kwa lengo la kutaka kuja kubadilisha program. (Sikukatishi tamaa mwambie dogo akaze kama ana nia)
Huna ushauri wa kumpa kama umeshindwa kuelewa UDSM ni niniAcha kumsingizia dogo, muhusika ni wewe. Ni ngumu kukupa ushauri maana hujasema chuo gani na hujaandika jina kamili la kozi.
Wengi si ndo unawakuta kwenye tuition centres maana hawawezi kuomba ajira za Education, lakini kama mtu atapasua GPA kubwa atakuwa na bahati ya kupata mchongo kwenye Idara husika za vyuoni japo connection ina'matter pia.Yupo mmoja hapa aliomba ushauri alimaliza Bachelor degree in mathematics kuwa mwl hawezi sababu sio mwalimu yani kazi zake ni chache sana kuzipata mtaani.
Dunia imebadilika, wanaomaliza vyuo vikuu wengi hawapati ajira kwenye fani walizosomea . Kikubwa aende kusoma hiyo kozi ili kujiongezea fursa huko mbeleni , wakati anasoma ajiongeza na kujifunza jinsi gani ataweza kujiajiri kwa kutumia Elimu anayopata. Ualimu utampatia mahali pa kuanzia. Digrii ya chuo kikuu itamfungulia milango mingi zaidiHabarini wapendwa,kuna dogo langu kapangiwa hii kozi hapo UDSM,naomba kujua ipoje na hawa watu wanaajiriwa kama walimu au vipi?
Huyo angekua na exposure hakupaswa kukata tamaa. Angejiweka njema kwenye AI na ML angekua moto wa kuotea mbali! Sema bongo mtu hata kozi unachagua ilimradi uonekane uko chuo. No passion at all.Yupo mmoja hapa aliomba ushauri alimaliza Bachelor degree in mathematics kuwa mwl hawezi sababu sio mwalimu yani kazi zake ni chache sana kuzipata mtaani.
Ni kozi mpya UDSM tena inasomwa kwa miaka minne.Hii kozi ipo udsm na udom
Ni Program ya miaka mitatu, si minne.Ni kozi mpya UDSM tena inasomwa kwa miaka minne.
Nafikiri mwaka huu itakuwa ni intake ya pili.
Nina uhakika ni miaka minne.Ni Program ya miaka mitatu, si minne.
Ahaa sawa sikujua kama ni miaka minne, kumbe hii kozi ni ya moto basii.