Bachelor of Science in Clinical Medicine, ufafanuzi

Bachelor of Clinical medicine, St Joseph

Ada yao ni Tsh ngap na vipi mikopo watapata ...?! Maana huenda Bodi ya mikopo hawana taarifa nayo hii bachelor
 
Nadhan bado kuna maswal mengi na waswas kwa Clinical Officers waliochaguliwa kwenda St Joseph kuchukua hii kitu ...

NACTE wapo kimya, na wanaendelea kuwapangia watu kwenda huko ..

Na chuo nacho kipo kimya, SIJUI KAMA KUPO SAWA HUKO ..

Maandalizi,usajil, kutambuliwa, mitaala, cheti vs MD, Salaries n.k
 
Kwa jins navyoifaham BCM nikwamba hawa ni Co ambao hawana uwezo Wa kwenda kusoma MD, so BCM watakuwa hawafanyi surgery (operation) ndio tofauti itakayowatofautisha na MD. Na ujue ukichukua BCM mwisho haina masters wala PhD.
 
hii programme ilikuw ianze 2012, kupitia chuo cha mtwara, programme nzima ilishaandaliwa tatizo lilikuwa hapo tofauti ya wenye BCM na MD itakuwa nn, siasa ikatumika ndio sababu ikafail, fainally inaanza itawakomboa sana wenye CO
 
Kwa jins navyoifaham BCM nikwamba hawa ni Co ambao hawana uwezo Wa kwenda kusoma MD, so BCM watakuwa hawafanyi surgery (operation) ndio tofauti itakayowatofautisha na MD. Na ujue ukichukua BCM mwisho haina masters wala PhD.

Una uhakika unachokiongea kama watakaosoma hiyi kozi hawawezi kufanya masters wala PhD?
 
Mkuu BCM wanaweza kusoma MD na wana advantage zaid.
 
Kwa jins navyoifaham BCM nikwamba hawa ni Co ambao hawana uwezo Wa kwenda kusoma MD, so BCM watakuwa hawafanyi surgery (operation) ndio tofauti itakayowatofautisha na MD. Na ujue ukichukua BCM mwisho haina masters wala PhD.

Okey
Unamaanisha nin kusema C.O Wasio na uwezo kwenda MD ..?! PESA/GHARAMA, MUDA, au UFAULU WAO ..?!
 
Hii ni pure internal medicine. Soma kuhusu internal medicine utaelewa
 
Hii ni pure internal medicine. Soma kuhusu internal medicine utaelewa

Internal medicine or general medicine (in Commonwealth nations) is the medical specialty dealing with the prevention, diagnosis, and treatment of adult diseases. Physicians specializing in internal medicine are called internists, or physicians (without a modifier) in Commonwealth nations. Internists are skilled in the management of patients who have undifferentiated or multi-system disease processes. Internists care for hospitalized and ambulatory patients and may play a major role in teaching and research.

Because internal medicine patients are often seriously ill or require complex investigations, internists do much of their work in hospitals. Internists often have subspecialty interests in diseases affecting particular organs or organ systems.

Internal medicine is also a specialty within clinical pharmacy and veterinary medicine.
 
Hii ninvyoelewa ni MD lkn ni kama mtu anaspecialize kwenye internal medicine.sorry nilichanganya kidogo
 
Kwa jins navyoifaham BCM nikwamba hawa ni Co ambao hawana uwezo Wa kwenda kusoma MD, so BCM watakuwa hawafanyi surgery (operation) ndio tofauti itakayowatofautisha na MD. Na ujue ukichukua BCM mwisho haina masters wala PhD.

Acha kupotosha! Ikiwa AMO anaweza kufanya operation kwa nini BCM asiweze?
Kwa taarifa yako kuhusu operations AMO wako vizuri sana, na case ikimshinda AMO anaipeleka kwa surgeon/specialist wala siyo kwa MD! Majukumu ya AMO na MD kiutendaji yanafanana na AMO ana uzoefu zaidi.
Mimi nafanya kazi katika mazingira ya hospitali ya rufaa hizi kada mbili nazifahamu vizuri.
MD wenye akili huwa wanyenyekevu sana kwa AMO na huwa wanajifunza kwao vitu vingi vya kiuzoefu. Lakini wenye kiburi huchukua muda mrefu sana kupata competence katika fani yao, na Mara nyingi wakiwa zamu huwa wanakwepa operations kwa visingizio kibao!
 

Umekosea mkuu ndugu yuko right. Its clinical not surgical elewa hapo. Lengo ni kuanza kuspecialize mapema
 
Mkuu BCM wanaweza kusoma MD na wana advantage zaid.

Mtu akisoma BCM anakuwa sawa na MD (they are at par), hawezi tena kusoma MD Bali anaweza Ku specialise kwenye ngazi ya masters!

Na mshahara wake ni Mkubwa zaidi maana yeye yupo kazini tayari kwa miaka mingi! Akiwa chuoni anakula boom pamoja na mshahara na promotions zake hazisimami!

Kuna MD mmoja alikuwa anadhani kuwa yeye lazima mshahara wake uwe Mkubwa kuliko wa AMO! Kwa mshangao wake alikuta AMO kamzidi kwa mbali. Wakamwelimisha kuwa huyu kakaa kazini kwa miaka kadhaa hivyo mshahara wake uko juu!
 
Samahani wakuu mi nina swali, kwa hiyo mtu akisoma diploma ya Clinical Medicine akimaliza anaweza kusoma MD au ni lazima asome BCM?

Na pia kuna ndugu yangu amemaliza form 6 na hajafanikiwa kupata chuo, ameamua kuwa asome tu diploma ya Clinical Medicine, sasa nilisikia kuwa kwasababu kamaliza form 6 atasoma advanced diploma, je kuna ukweli hapo?

Nawasilisha jamani, msaada tafadhali.
 
Safi sana hii, ilikuwa ni kichekesho pale ambapo mtu mzima CO anapolazimika kurejea shule na kukimbizana na watoto wadogo wakati tayari ana uzoefu wa kutosha kazini.

Safi!
 

Uchaguzi unabaki juu yake,anaweza kusoma MD au hata BCM..
Sidhani kama kuna ukweli kwakuwa kamaliza form six atasoma advanced diploma,ila atasoma clinical medicine ngazi ya diploma tu kama wengne!
 
Safi sana hii, ilikuwa ni kichekesho pale ambapo mtu mzima CO anapolazimika kurejea shule na kukimbizana na watoto wadogo wakati tayari ana uzoefu wa kutosha kazini.

Safi!

Yap
Lakin hilo la kuikosa Surgery unalionaje
 
Uchaguzi unabaki juu yake,anaweza kusoma MD au hata BCM..
Sidhani kama kuna ukweli kwakuwa kamaliza form six atasoma advanced diploma,ila atasoma clinical medicine ngazi ya diploma tu kama wengne!

Yap, Ni kweli uamuzi ni wake, hilo la AMO, Ili ukasome amo ni lazima uwe c.o, huwezi kutoka form 4 au 6 ukaenda AMO moja kwa moja labda kama kuna utaratibu mpya siku hizi ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…