Bachelor of Science in Horticulture, SUA

cutebulbul4

Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
45
Reaction score
1
habari zenu nilikua naomba ushauri kwa anayejua course hii aniambie inahusu nini na ajira zipoje? pia kama kunauwezekano wa kubadili course pale sua
 
Coz hii inahusu kilimo cha mbogamboga(hasa bustani) ni nzuri sana kwa kujiajiri(endapo utapata maeneo yenye miundombinu mizuri pembezoni mwa dar es salaam na pwani) lakini ukitaka kuajiriwa ajira zake ni finyu sana na hakuna maslahi sana.
 
Coz hii inahusu kilimo cha mbogamboga(hasa bustani) ni nzuri sana kwa kujiajiri(endapo utapata maeneo yenye miundombinu mizuri pembezoni mwa dar es salaam na pwani) lakini ukitaka kuajiriwa ajira zake ni finyu sana na hakuna maslahi sana.
UGARI MAHARAGE uko sawa kabisa katika maelezo yako kwa ndugu yetu, karibu sana SUA lakini ni eneo zuri la kujiandaa na Maisha ya baadae!! Mimi niko pale WILDLIFE MANAGEMENT, Karibu sana
 
UGARI MAHARAGE uko sawa kabisa katika maelezo yako kwa ndugu yetu, karibu sana SUA lakini ni eneo zuri la kujiandaa na Maisha ya baadae!! Mimi niko pale WILDLIFE MANAGEMENT, Karibu sana

vipi ajira za w/mgt zipo?
 
UGARI MAHARAGE uko sawa kabisa katika maelezo yako kwa ndugu yetu, karibu sana SUA lakini ni eneo zuri la kujiandaa na Maisha ya baadae!! Mimi niko pale WILDLIFE MANAGEMENT, Karibu sana

vipi kama nataka kubadili course is it possible?
 
vipi kama nataka kubadili course is it possible?

Kabla hujawaza kubadili...je umeijua hiyo kozi inahusu nini?? au unaijua vipi?

Kwa nnavyojua ni kozi inayodeal na kilimo.. mwaka wa kwanza mta share kozi na wengine hasa wa agronomy na agric general!!

Kuna mdau hapo juu kasema inadeal na kilimo cha mboga,, kwa kuongezea tu...bustani.. ulimaji maua katika mashamba makubwa...kiujumla mazao karib yote yanayochukua mda mfupi kukomaa hawa wanadeal nayo!!

Kwa upande wa kazi...iko na nafasi kibwa sana kuanzia serikal hadi sekta binafsi!! bila kisahau kama unataka kujiajiri hapo ndipo penyewe!! kiukwel wengi hawaijui hii kozi...hasa soko lake hapa tz!!

Kuhusu kubadili koz, JE WATAKA BADILI KWENDA KOZI GANI? VIPI UFAULU WAKO?...yes its possible kubadiki...labda mwaka huu wakatae...muda wa kubadili ni wiki moja kama si ya pili ya kuingia chuo!! nakushauri ufikirie vizuri kabla hujaamua kubadili!! kila la heri!
 

asante sana kwakunielewesha, nilitaka kuamia food science and technology nimepata three ya 12 cbn , chem D bios C na nutrition B
 
asante sana kwakunielewesha, nilitaka kuamia food science and technology nimepata three ya 12 cbn , chem D bios C na nutrition B

Ni kozi nzuri pia...kwa kukushauri tu, siku chuo kikifunguliwa wahi mapema .. nenda ofisin au registration ongea nao!! na kama wakikusumbua usisite kuendelea na uliyopangwa, nayo ina future nzuri sana!! your welcome!!
 
Coz hii inahusu kilimo cha mbogamboga(hasa bustani) ni nzuri sana kwa kujiajiri(endapo utapata maeneo yenye miundombinu mizuri pembezoni mwa dar es salaam na pwani) lakini ukitaka kuajiriwa ajira zake ni finyu sana na hakuna maslahi sana.

kilimo cha maua utamuuzia nani bongo
 
vip kuhusu agricult eng pale sua wadau
 
vip kuhusu agricult eng pale sua wadau
Agricultural engineering inahusiana na ujenzi wa muundo mbinu ya kilimo ikihusisha kilimo cha mazao na ufugaji, so nayo pia ni kozi Nzuri ila changamoto zake ni kwanza unasoma miaka minne ingawa sio changamoto kubwa sana kwa anayejua kilichompeleka, pili niwe muwazi ingawa kozi zote za SUA ni ngumu lakini kwa ugumu baada ya Veterinary Medicine kwa ugumu ya pili ni Hii agricultural engineering hivyo ni lazima uwe tayari kusoma sana na kwa umakini iwezekanavyo maana ni engineering kama zingine, ila ni Nzuri pia ina ajira Maana muundo mbinu katika kilimo inahitajika kwa sana,so karibu SUA!!
 
nashukuru san mdau kuhusu msuli ntakomaa tu
 
vip kuhusu Bachelor of Science Agricultural Economics and Agribusiness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…