Is-haka muhunzi
Member
- Jul 14, 2019
- 42
- 22
Sante!mkuu naomba ushaur wakko mana mm ni mkazi wa bagamoyo mechagua hiyoo kozi campus ya dar es salaamMimi ni mfanyakazi chuo cha CBE nikikupatia ushauri utasema nataka tu uje kusoma kwetu, ila nakushauri kwamba pita kwenye office mbalimbali ufanye research mwenyewe utapata majibu.
Ushaur wako bro!?Hamna shule hapo
Ushaur wako bro!?Hivi hukuona Mzumbe ukasome IT ? Au hukuona Udism au hukuona Sua hata ardhi pia
Basi ungejitahidi ukaenda udom
Kozi ni nzuri ila chuo mdobwedo tafuta chuo kingineUshaur wako bro!?
Shukrani! Ndugu baddo cjafanyaa confirmation ahsante kwa ushaurNi course nzuri ila kwa chuo hiko sio course nzuri kwa wewe kusoma.
Kwenye soko la ajira course na chuo ulichosoma huwa vina uhusiano. Kwa course za biashara komaa hapo ila kwa hiyo IT tafuta chuo kingine mkuu. Nenda hata IFM
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kama vipi bro kwa hapa Dar!?Kozi ni nzuri ila chuo mdobwedo tafuta chuo kingine
ShukraniHizo Course nchi hii zipo sehemu mbili tu.
1. Coict - Udsm
2. Cive ( College of informatics and virtue education) - Udom
Utanishukuru ukihitimu
UdismKama vipi bro kwa hapa Dar!?
Kwani machaguo yashatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari wakubwa natumaini ni wazima wa afya.
Nami napenda kuchukua nafasii hii kuwaomba ushauri katika hii. Nimechaguliwa Bachelor of Science in Information Technology katika chuo tajwa apo juu.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hii kozi naddo cjafanya confirmation napenda kupewa #hits kuhusu chuo
Kwa upande wa ufundishaji na mambo muhimu kuhusu hii kozi.
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwenu mana mpo mlionizidi elimu na experience.
Chai hiiiDuh mara hii watu washachaguliwa na chuo tayari
Mbona hata mwandiko wako hauleweki?Habari wakubwa natumaini ni wazima wa afya.
Nami napenda kuchukua nafasii hii kuwaomba ushauri katika hii. Nimechaguliwa Bachelor of Science in Information Technology katika chuo tajwa apo juu.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hii kozi naddo cjafanya confirmation napenda kupewa #hits kuhusu chuo
Kwa upande wa ufundishaji na mambo muhimu kuhusu hii kozi.
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwenu mana mpo mlionizidi elimu na experience.
Jamaaa muongoo sana huyuChai hiii