Back with a kiss

The dirt paka

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
371
Reaction score
68
Ni muda kitambo nimewamiss sana wapenzi wangu hapa jf da!
Msinifikirie vbaya sitawatosa. Liz, Afrodenz, Michelle, Husininyo, Asha Dii, Dena amsi, Uporoto, first lady na wengineo kidole kimechoka kuandika majina mengine hayasomeki in series kwa jinsi yalivyo feki na initials. Jamani mpoo, Nilienda mbali utadhani mkimbizi almanusa Paka niwe kimbulu/kicheche. Mwaaaaaa...aaaaa...!
 
Hilo kiss la wapi? Forehead, left cheek, right cheek, lips...
Wako ibadani wakija hapa jiandae kupigwa kisses na wewe.
 
So jina langu ni feki na kiss nimekosa! Dirty Paka naomba shikamoo tu itanfuta machozi ya kukumiss
 
Hili kiss ni kwa lips.

hata kama sipo kwenye list yako
hata kama ckujui
hata kama wakati na jiunga ndo ulikuwa huko 'mbali'
mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhh!!!!


Ila mkuu hili kiss la kwenye lips wababa linawahusu?
 
Dirty Paka kiss la kny lips si utatukosanisha na wapenzi wetu?
 
Kwenye lipsi kwa female wote Preshaz msijali mkidhani mtagombana na wapenzi wenu kiss just a sign of luv between friends. MWANAJAMII 1 KAMANDA WAUKWELI SANA SHIKAMOO MKUU pamoja na wa BabaWOTE NA HUGS KWA VIJANA WENZETU. AFrodenzi nipe ripoti ni kilijiri hapa jukwaani nilipoondoka? Mwanajamii, nyani ngabu , jukwaa la harakati linaelekea wapi? Vibaraka bado wanaongea au kusajiliwa? .
 
Alafu Afrodenzi shiling imeshuka thamani hiyo lipshine/lipstik/ule wanja na vipodo nilinunua utumie mwaka mzima paka kistaarabu ili matumizi yasizid uwezo sitaki uchakae.
 
Tulikumiss pia, bado kidogo nianzishe thread ya maombolezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…