Hii ni tofaiti ya UPS mkuu? Kama ni UPS inakupa tu muda kidogo wa kusave kazi yako kama watumia desktopHabari wakuu,
Kama mnavyofahamu matatizo ya umeme yanakwamisha sana shughuli hasa zinazohitaji computers, naomba kuuliza kwa wale wanaozifahamu backups za computer je ni bei gani zinapatikana
Dakika 10 hadi saa 2 nadhani ila ya saa mbili sijawahi kukutana nayo bongo nyingi zilizopo ni dakika kadhaa tu Chief-MkwawaNaona ni hizohizo UPS, Kwani huwa zinakaa muda gani?
Wakati nafanya kazi hospitali ya milembe niliona zinakaa muda mrefu ni kama 2 hours, lakini sikufahamu bei yakeDakika 10 hadi saa 2 nadhani ila ya saa mbili sijawahi kukutana nayo bongo nyingi zilizopo ni dakika kadhaa tu Chief-Mkwawa
natumia moja kwa ajili ya desktopzinazohitaji computers