mwana ally
JF-Expert Member
- Jan 30, 2014
- 363
- 119
Wana JF naomba kuelekezwa. Eti ni kweli miswaki inabeba bacteria wakati tunavyoweka / kutunza miswaki yetu kwenye mabafu au kwenye choo (sehemu tunazoogea au kujisaidia).
Kwamba tukishamaliza kuswaki tunatakiwa kuweka sehemu safi na kavu tofauti na hizo hapo juu.
Kwamba tukishamaliza kuswaki tunatakiwa kuweka sehemu safi na kavu tofauti na hizo hapo juu.