Bad mood

kuna mtu juzi tu kaniambia kwao mtu akisema ana bad mood
basi huwa wanamuona ana roho mbaya
bad mood= roho mbaya.....lol
 
Bad mood imefanyaje sasa? Ikiwa peke yake haina madhara labda imuingie mtu, na ushauri wangu ikemee na uifukuzie mbali, it shouldn't be anybody's potion!
 
kuna mtu juzi tu kaniambia kwao mtu akisema ana bad mood
basi huwa wanamuona ana roho mbaya
bad mood= roho mbaya.....lol

Jamani the boss cyo hivyo basi tu haya mapenzi yananitatiza
 
Wewe huyo mume atakuzeesha huku bado mdogo
mtafutie kidumu yaishe lol

Tuko beach tunasikiliza reggae kwa radio ya gari nasikia kadedicate lovely song kwa mwanamke mmoja nauliza eti ananiambia huyo ni mwarabu alikua anapenda taarab ye ndo amemfanya apende raggae eti wako group moja BBM wakati mi ndo nimepigika when he lost his name kama verse 1 ya wimbo inavyosema lakini cjawahi kupata dedication nasikia wivu mbaya
 
Bad Mood? Sasa si ufunguke aisee Eversmilin Gal ili tujue nini tatizo, haoni kuwa unatupa kazi ya ku-guess matatizo yanayoweza kuwa yamekukuta na hivyo kukwamisha zoezi zima la kujadili thread yako?
 
Last edited by a moderator:

sasa na wewe dedicate wimbo kwa mwanaume
mwambie uko nae facebook
wimbo uitwe 'i cant get enough of you' lol
dedication kwa boss wa jf lol
 
Bad Mood? Sasa si ufunguke aisee Eversmilin Gal ili tujue nini tatizo, haoni kuwa unatupa kazi ya ku-guess matatizo yanayoweza kuwa yamekukuta na hivyo kukwamisha zoezi zima la kujadili thread yako?

Mbona nshajielezea jamani
 
Last edited by a moderator:
Gal, Relax!! Everything gonna be alright, just give it time and time will tell, but it depend if you "time THE time before THE time times you".
 
Mbona nshajielezea jamani

Ok kumbe ni haya hapa ndo yamekukuta ...

Ahaaaa, inawezekana alikuwa anataka kukutania tu aone jinsi ulivyo na wivu na jinsi ambavyo ungereact! Naamini hili limetokea mara hiyo moja tu, na kama ni hivyo we kaa kimya na kumonitor tena mazungumzo yake auone kama atarudia kumtaja huyo mwarabu, loh!
 
sasa na wewe dedicate wimbo kwa mwanaume
mwambie uko nae facebook
wimbo uitwe 'i cant get enough of you' lol
dedication kwa boss wa jf lol

Umetisha ni aje ila muda wa kufanya vituko bado navumtia pumzi dadeki....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…