evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
Hahahahahaa,,,sasa asingekuwa na kipaji angewezaje hio kazi ya ukuda?Licha ya kuwa ni kazi inayompatia ugali wa kila siku ila sudy brown ni mmbea wa asili anakipaji cha umbea na anaupenda sanaa[emoji23]
aisee,Haina jinsi sasa watu wanamjua vizuri sanaa[emoji23][emoji23]
Sawa Ni kweli Sasa hivi utitiri wa redio ila bado nafikiri kama ni msikilizaji wa redio bado utakubaliana na Mimi kwamba clouds bado wako juu!Sasa kaka huo ndo uoga wa watu kutojua haki zao hata ulaya magazeti na gossiping news watu huwa wanaanglia cha kuweka sivyo fidia mahakamani inakuhusu kuhusu dogo janja kuoa ni ishu personal sana ila alivyoivhukulia huyu jamaa ndo kama gap ya kumdhalilisha
Pili kuhusu nguvu ya hao watu siku hizi siyo nguvu tena kwa watu wenye akili internet media na njia ni nyingi za kupata kipato na publicity its just creativity wakati radio one na clouds wanafanya huo ukiritimba kumbuka kulikuwa na radio mbili tu sasa hivi kila mkoa kuna radio msiwafundishe wasanii kuwa waoga kusimamia haki zao
Hata siyo mange mbona picha zake zilikuwepo kitambo hata humu jf waliwahi zipost zaidi ya miaka miwili nyuma.Dogo janja sio wakwanza kufanya hivyo...
Mtu wa kwanza kumtoa Soudy B bila mask Ni mange kimambi
binamu nitumie picha yake nimuone maana pale juu wamekaa watatuaisee,
nai
binamu nitumie picha yake nimuone maana pale juu wamekaa watatu
Sure ulichosema ila bado narudi palepale wanapaswa kuwa na adabu na privacy za watu inakuwa kama anataka kuolewa yeye bwana mda mwingine hawa watangazaji washajiona miungu watu huyu huwa hamchokonoi hemed phd ama tid umbeya wake anakalia kwenye kia lake anawachokonoa mwenyewe madhara yake ndo haya unategemea nn nao wanachoka ni binadamuSawa Ni kweli Sasa hivi utitiri wa redio ila bado nafikiri kama ni msikilizaji wa redio bado utakubaliana na Mimi kwamba clouds bado wako juu!
Mimi mwenyewe siungi mkono redio moja kucontrol future ya msanii ila kibongo bongo bado sana!
Ni mwaka tu umepita tangu ruby wampoteze kulikuwa na radio nyingi ila ndio hivyo!
Rama D amekaaa we ila amerudi!
Anyway lengo langu sio kuwapa kichwa clouds na kuwafanya wasanii wajione wapo chini!
Ila ni ukweli usiopingika Dogo janja hana fan base kubwa kiasi cha kutocare mahusiano mazuri Na hao akina soudy(clouds)
Ni mtazamo tu lakini nafikiri watachukulia poa tu mkuu
Namimi naliona hilo, unajua kwa sasa kipindi cha kina Soudy ni kati ya vipindi vinavyowapatia mpunga mrefu Clouds Media, na kwenye kipindi cha Shilawadu Soudy ndio key player so ukiharibu brand yake unaweza affect hata mvuto/mapato ya kipindi hivyo sidhani kama Ruge anaweza furahia hii ishu, dogo aombe msamaha haraka lasivyo inaweza mcostNaona Dogo janja ameamua nyimbo zake kutopigwa na clouds Sasa!
Promo ambayo huwa wanamfanyia Sasa ndo itakuwa mwisho......
time will tell
Na hilo Ndio naliona Mimi ingawa Kuna watu hapo juu wameona kama ninataka kumfanya Dogo awatetemekee cloudsNamimi naliona hilo, unajua kwa sasa kipindi cha kina Soudy ni kati ya vipindi vinavyowapatia mpunga mrefu Clouds Media, na kwenye kipindi cha Shilawadu Soudy ndio key player so ukiharibu brand yake unaweza affect hata mvuto/mapato ya kipindi hivyo sidhani kama Ruge anaweza furahia hii ishu, dogo aombe msamaha haraka lasivyo inaweza mcost
we jamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hicho kipindi anachofanya Sudi ilitakiwa kufanywa na wanawake, ila sawa anawawakilisha wanaume wa Dar
Ukiona Mwanaume mbea Sana jua Kuna kitu kina mfanya awe mbeya hata kama huwez jadil personal issue ya mtu kisa wewe unaingiza pesa kumbuka unaweza kuua mtu Kuna wengne hawana uwezo WA kuhmili mishindo Hakuna Sheria inayokuta kujadili personal life ya mtu ukimkuta mtu mwingine anakudai fidia wewe unapata pesa mim Napata stress lazima nikufirisi shenzi kabisaYule Kijana mdogo kwenye Tasnia ya Bongo fleva Abdulazizi Chande 'Dogo janja' ambaye wiki kazaa zilizopita amejikaza ubongo na kuamua kufunga ndoa na Diva kwenye tasnia ya BongoMovie mwanadada Irene 'Sheila' Uwoya ,
Leo ameamua kumtolea povu mtangazaji 'Mmbea' Wa Tv na Radio Clouds Soudy brown ambaye amekuwa akimuandama mara kwa mara dogojanja kwa suala la ndoa yake na Mwanadada Uwoya kwakile kinachoonekana Tofauti ya umri kati ya wanandoa hao,
Baada ya kuona Soudy brown anavuka mipaka Dogojanja ameamua kumtolea povu la wiki Soudy huku akipost picha inayomuonesha Soudy brown sura yake halisi bila ya mask, Naona Badamu banazidi Kumwagikaaaaa.
Akili zangu zinafanana na zako.Duh hii picha ya mwaka gani aise
Hii ndoa Me bado naona ni usanii tu haifiki mbali tutaanza kusikia vituko
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wanaum wa dar wanamatatzHicho kipindi anachofanya Sudi ilitakiwa kufanywa na wanawake, ila sawa anawawakilisha wanaume wa Dar