johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakubaliana kabisa na Spika Ndugai kwamba hoja nyingine za uchaguzi ni ndogo ndogo lakini zinakuxwa tu.
Mfano Chadema wamepata hati safi lakini kuna zaidi ya tsh milioni 300 CAG amedai zimetumika bila kufuata utaratibu.
Maana yake ni kwamba fedha hizo hazijaibwa ila taratibu tu za kuhalalisha matumizi yake ndio hazikufuatwa.
Mimi nadhani jambo kubwa ambalo wananchi wangependa kujua ni Je ruzuku ya ATCL ya zaidi tsh 150 bilioni kwa mwaka zilipitishwa hapo bungeni!
Kama zilipitishwa, Je ni halali kwa serikali kuwakodisha ndege ATCL na at the same time wanawapa na ruzuku ya uendeshaji?
Ni hayo tu kwa uchache.
Ramadan Kareem!
Mfano Chadema wamepata hati safi lakini kuna zaidi ya tsh milioni 300 CAG amedai zimetumika bila kufuata utaratibu.
Maana yake ni kwamba fedha hizo hazijaibwa ila taratibu tu za kuhalalisha matumizi yake ndio hazikufuatwa.
Mimi nadhani jambo kubwa ambalo wananchi wangependa kujua ni Je ruzuku ya ATCL ya zaidi tsh 150 bilioni kwa mwaka zilipitishwa hapo bungeni!
Kama zilipitishwa, Je ni halali kwa serikali kuwakodisha ndege ATCL na at the same time wanawapa na ruzuku ya uendeshaji?
Ni hayo tu kwa uchache.
Ramadan Kareem!