Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili kwa kuwalima wachezaji...
Mama yako akiona ujinga ulioandika atajuta kwanini hakutoa mimba kipindi hicho.Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili kwa kuwalima wachezaji red kadi za magumashi..
Bila wajinga sisi, dunia itasimamaMama yako akiona ujinga ulioandika atajuta kwanini hakutoa mimba kipindi hicho.
Kinye fc hata muandikeje,mlipewa penalty kama fadhila .Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili...
Kama wewe timu yako haijawahi kupigwa tano na Simba SC nyoosha mkono....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kule hakuna Kadi nyekundu za mchongo, Game zikiwa fair Aya ndio matokeo yake.View attachment 2403848
Na wale ambao timu Yao haijawahi kufungwa 5-0 na Yanga wanyoshe mkonoKama wewe timu yako haijawahi kupigwa tano na Simba SC nyoosha mkono....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho njoo lupaso uone muarabu akielekezwa kibla anakufa 4-0Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
Bahati mbaya jana mfalme zumaridi hakutaja idadi yetu, inawezekana tupo wengi sana. Ila kwa ile statistics ya 1:4 na wewe huchomoiMimi nadhani kuhesabu watu syo maendeleo tu pia tujue watu wenye ulemavu wa akili Na ambao hawana ulemavu wa akili hivi Ile faulo ya juma nyoso unashindwa VP kutoa red card haya njoo sakho yupo chini mtu anakanyaga Na c Mara moja kweli mpira hauko hivyo