Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Cryptocurrency itakuja kufanya haya yote. Ni suala la muda tuKwanini serikali isiunde mpesa yake ambayo watu watakuwa wanatumiana pesa na kufanya biashara bila makato yoyote. Yaani kama hivi wanavyofanya kwa noti.
Si litakuwa jambo la kimapinduzi sana ikifanya hivyo halafu baada ya muda noti zikaondolewa kwenye mzunguko.
Cryptocurrency itakuja kufanya haya yote. Ni suala la muda tu
Yale makato ya uzalendo tutayapoteza.Kwanini serikali isiunde mpesa yake ambayo watu watakuwa wanatumiana pesa na kufanya biashara bila makato yoyote. Yaani kama hivi wanavyofanya kwa noti.
Si litakuwa jambo la kimapinduzi sana ikifanya hivyo halafu baada ya muda noti zikaondolewa kwenye mzunguko.