Polisi wamekuja na mkakati mpya wa ajabu na wa kujivua nguo kuonesha kushindwa kwao kufanya jukumu lao la kikatiba na kisheria la KULINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO.
Sasa wanatafuta namna ya kutoka ktk aibu na fedheha waliyojibebesha wao wenyewe kwa kukubali kurubuniwa kwa kununuliwa na wanasiasa wa watawala ndani ya CCM ili watumie mamlaka yao ya kipolisi vibaya (abuse of police powers) kuteka, kuumiza na kuua wapinzani wa CCM kisiasa ili tu kufikia lengo lao la kushinda uchaguzi kwa njia za kilaghai na wizi wa kura huku police ikilinda uhalifu huo.
Huyu police hapa kwa kutumwa na wenzake, anachokifanya ni MPE MBWA JINA BAYA, KISHA MUUE......
Kwamba wanatafuta sababu za kuingilia ikibidi kuzuia kila program ya CHADEMA kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ikiwa ni pamoja na kukamata viongozi na kuwafungulia mashitaka ya uongo......
Huu ni sehemu ya mkakati uliokwisha kuanza tayari kwa kuteka, kutesa na kuua viongozi na wanaharakati wa kupigania haki wanaoiunga mkono CHADEMA kama Deusdith Soka, Sativa, Mbwana Kombo na wengine wengi.
Hebu mtazame na msikilize polisi huyuππ»ππ»ππ»ππ»
Kwa walio na elimu ndogo tu ya Human Psychology, wanaweza kumtambua mara moja kuwa anachokisema au kukisoma kama taarifa ni kuwa hana uhakika nacho, hakina fact details zisizo na shaka kuwa anachokisema kipo.
Lakini ndiyo hivyo. Haya ndiyo professional police wa Tanzania wanaweza kufanya. Hapa hakuna lolote. Hawa ni makada wa CCM waliovishwa sare za polisi na kufanya shughuli za kipolisi. Hawa ndio mchana polisi, wakitoka hapa wanavua sare na kuanza kuteka watu, kuwatesa, kuwaua kisha kuwatupa polisi na nyikani kama mizoga ya panya.
Kwa kifupi bila hata kusikiliza CHADEMA wanajibu nini, utajua tu kuwa taarifa yake ni ya UONGO tena UONGO WA KUTUNGA MCHANA KWEUPE sawasawa na uongo wa KESI YA UGAIDI WA MBOWE (2020/2021) iliyotungwa na hawahawa police Ramadhani Kingai na IGP wa sasa Camillius Wambura) na Kesi ya UGAIDI WA WILFRED LWAKATARE iliyotungwa na kina Mwigulu Nchemba wakati huo akiwa katibu wa itikadi na uenezi CCM.
Kesi hizo zote hizi zilikuwa shambulio dhidi ya kuiua na kuifuta kabisa CHADEMA lakini zote kwa msaada wa Mungu wa mbinguni, zilishindwa vibaya na CHADEMA ipo na inakwenda kuchukua dola la nchi hii... !!
Your browser is not able to display this video.
Unaweza pia kutazama na kusikiliza reaction ya CHADEMAππ»ππ»ππ».....
Na mimi niwapongeze CHADEMA kwa kuharakisha kujibu tuhuma hizi za ajabu na uongo toka kwenye chombo tunachoamini kiwe namba moja kusimamia sheria na katiba kwa haki na usawa kwa kila mtu na kwa kila taasisi. Lakini kwa jinsi mambo yalivyo sasa, ni wazi kuwa JESHI LA POLISI sio tegemeo tena la kulinda usalama wetu kwa sababu limeshakuwa scrambled and compromised na uhalifu na uovu. Hawa ndiyo majambazi na magaidi yenyewe kwa jina la POLICE.....!!
Lakini inashangaza sana kuwa baadhi ya maafisa wa Jeshi la polisi wenye mamlaka ya kutoa amri na maelekezo ya utendaji kazi wa kila siku wa walio chini yao wamegeuka kuwa mawakala wa shetani wakikandamiza haki kwa kuwateka watu, kuwatesa na kuwaua na kisha kuwatupa kama mizoga ya ndege porini au nyikani.
Makosa ya hawa watu wanaoteswa na kisha kupigwa risasi na kuuwawa eti ni kwa sababu tu ni wakosoaji wa viongozi wa CCM na serikali yao dhidi ya sera na mipango yao ya hovyo kwa nchi hii iliyoshindwa kuleta mabadiliko na maendeleo endelevu kwa kasi inayotakiwa.
Your browser is not able to display this video.
HII HAIKUBALIKI HATA KIDOGO. NI LAZIMA TUPAMBANE NAO NA KWA MSAADA WA MUNGU ALIYE HAI TUTASHINDA LAZIMA......
Naitamani hiyo siku watu wajinga wazikane sare zao na kujificha miongoni mwa akina mama na watoto.Huo uliofanywa na polisi ni ujingaujinga uliopea viwango.
Naitamani hiyo siku watu wajinga wazikane sare zao na kujificha miongoni mwa akina mama na watoto.Huo uliofanywa na polisi ni ujingaujinga uliopea viwango.
Well PGO hainashida tatizo ni usimamizo wa jeshi hilo na loophole iliyoko kwenye katiba.
Katiba bado inawapa access mpaka wateule wa rais kulitumia hili jeshi. Na haielezi, when command inatolewa akiwa mwanachama vs akiwa kiongozi wa serikali
Polisi wamekuja na mkakati mpya wa ajabu na wa kujivua nguo kuonesha kushindwa kwao kufanya jukumu lao la kikatiba na kisheria la KULINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO.....
Sasa wanatafuta namna ya kutoka ktk aibu na fedheha waliyojibebesha wao wenyewe kwa kukubali kurubuniwa kwa kununuliwa na wanasiasa wa watawala ndani ya CCM ili watumie mamlaka yao ya kipolisi vibaya (abuse of police powers) kuteka, kuumiza na kuua wapinzani wa CCM kisiasa ili tu kufikia lengo lao la kushinda uchaguzi kwa njia za kilaghai na wizi wa kura huku police ikilinda uhalifu huo......
Huyu police hapa kwa kutumwa na wenzake, anachokifanya ni MPE MBWA JINA BAYA, KISHA MUUE......
Kwamba wanatafuta sababu za kuingilia ikibidi kuzuia kila program ya CHADEMA kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ikiwa ni pamoja na kukamata viongozi na kuwafungulia mashitaka ya uongo......
Huu ni sehemu ya mkakati uliokwisha kuanza tayari kwa kuteka, kutesa na kuua viongozi na wanaharakati wa kupigania haki wanaoiunga mkono CHADEMA kama Deusdith Soka, Sativa, Mbwana Kombo na wengine wengi....
Hebu mtazame na msikilize polisi huyuππ»ππ»ππ»ππ»
Kwa walio na elimu ndogo tu ya Human Psychology, wanaweza kumtambua mara moja kuwa anachokisema au kukisoma kama taarifa ni kuwa hana uhakika nacho, hakina fact details zisizo na shaka kuwa anachokisema kipo......
Lakini ndiyo hivyo. Haya ndiyo professional police wa Tanzania wanaweza kufanya. Hapa hakuna lolote. Hawa ni makada wa CCM waliovishwa sare za polisi na kufanya shughuli za kipolisi. Hawa ndio mchana polisi, wakitoka hapa wanavua sare na kuanza kuteka watu, kuwatesa, kuwaua kisha kuwatupa polisi na nyikani kama mizoga ya panya.....
Kwa kifupi bila hata kusikiliza CHADEMA wanajibu nini, utajua tu kuwa taarifa yake ni ya UONGO tena UONGO WA KUTUNGA MCHANA KWEUPE sawasawa na uongo wa KESI YA UGAIDI WA MBOWE (2020/2021) iliyotungwa na hawahawa police Ramadhani Kingai na IGP wa sasa Camillius Wambura) na Kesi ya UGAIDI WA WILFRED LWAKATARE iliyotungwa na kina Mwigulu Nchemba wakati huo akiwa katibu wa itikadi na uenezi CCM.....
Kesi hizo zote hizi zilikuwa shambulio dhidi ya kuiua na kuifuta kabisa CHADEMA lakini zote kwa msaada wa Mungu wa mbinguni, zilishindwa vibaya na CHADEMA ipo na inakwenda kuchukua dola la nchi hii... !! View attachment 3082893
Unaweza pia kutazama na kusikiliza reaction ya CHADEMAππ»ππ»ππ».....
Na mimi niwapongeze CHADEMA kwa kuharakisha kujibu tuhuma hizi za ajabu na uongo toka kwenye chombo tunachoamini kiwe namba moja kusimamia sheria na katiba kwa haki na usawa kwa kila mtu na kwa kila taasisi. Lakini kwa jinsi mambo yalivyo sasa, ni wazi kuwa JESHI LA POLISI sio tegemeo tena la kulinda usalama wetu kwa sababu limeshakuwa scrambled and compromised na uhalifu na uovu. Hawa ndiyo majambazi na magaidi yenyewe kwa jina la POLICE.....!!
Lakini inashangaza sana kuwa baadhi ya maafisa wa Jeshi la polisi wenye mamlaka ya kutoa amri na maelekezo ya utendaji kazi wa kila siku wa walio chini yao wamegeuka kuwa mawakala wa shetani wakikandamiza haki kwa kuwateka watu, kuwatesa na kuwaua na kisha kuwatupa kama mizoga ya ndege porini au nyikani...
Makosa ya hawa watu wanaoteswa na kisha kupigwa risasi na kuuwawa eti ni kwa sababu tu ni wakosoaji wa viongozi wa CCM na serikali yao dhidi ya sera na mipango yao ya hovyo kwa nchi hii iliyoshindwa kuleta mabadiliko na maendeleo endelevu kwa kasi inayotakiwa.... View attachment 3082908
HII HAIKUBALIKI HATA KIDOGO. NI LAZIMA TUPAMBANE NAO NA KWA MSAADA WA MUNGU ALIYE HAI TUTASHINDA LAZIMA......
nadhani ni jambo la maana sana na muhimu sana kwetu sote kama Taifa, kuomba Neema na Baraka za Mungu atujalie hekima na busara katika kushauri na kupendekeza mambo kiungwana kwa mustakabali mwema wa ustawi wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania wote...
ni kwa faida ya nani unamshawishi au unamchochea mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, ndugu yako au Mtanzania mwenzako yeyote eti ageuke muhalifu kaidi apambane na vyombo vya ulinzi na usalama tena vilivyo jizatiti kimbinu kuukabili uhalifu wa aina zote nchini?
unategemea kufurahia kuumizwa, au uharibifu na pengine maafa yatokee kwasabb hiyo?
kuna kila dalili kwamba, kuna miongoni mwa waTanzania wanasiasa , wenye hulka kama hizi wanachukulia mambo haya ya kiuchunguzi kwa manufaa binafsi ya kisiasa...
ndrugu zangu,
ni muhimu sana tuwape nafasi vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zao kwa uhuru na kwa uhakika. hakuna sababu hata moja kuwahadaa waliopotelewa na ndugu zangu kwa kuwapa matumaini hewa.
huko ni kuwaumiza zaidi, achani tabia hiyo isiyo ya kiungwana..
hekima na busara ya kila Mtanzania katika hili, imuelekeze kua na utulivu ,ustahimilivu na subra wakati vyombo vya ulinzi na usalama vikitafuta majawabu ya yaliyotokea tayari..π
Polisi wamekuja na mkakati mpya wa ajabu na wa kujivua nguo kuonesha kushindwa kwao kufanya jukumu lao la kikatiba na kisheria la KULINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO.....
Sasa wanatafuta namna ya kutoka ktk aibu na fedheha waliyojibebesha wao wenyewe kwa kukubali kurubuniwa kwa kununuliwa na wanasiasa wa watawala ndani ya CCM ili watumie mamlaka yao ya kipolisi vibaya (abuse of police powers) kuteka, kuumiza na kuua wapinzani wa CCM kisiasa ili tu kufikia lengo lao la kushinda uchaguzi kwa njia za kilaghai na wizi wa kura huku police ikilinda uhalifu huo......
Huyu police hapa kwa kutumwa na wenzake, anachokifanya ni MPE MBWA JINA BAYA, KISHA MUUE......
Kwamba wanatafuta sababu za kuingilia ikibidi kuzuia kila program ya CHADEMA kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ikiwa ni pamoja na kukamata viongozi na kuwafungulia mashitaka ya uongo......
Huu ni sehemu ya mkakati uliokwisha kuanza tayari kwa kuteka, kutesa na kuua viongozi na wanaharakati wa kupigania haki wanaoiunga mkono CHADEMA kama Deusdith Soka, Sativa, Mbwana Kombo na wengine wengi....
Hebu mtazame na msikilize polisi huyuππ»ππ»ππ»ππ»
Kwa walio na elimu ndogo tu ya Human Psychology, wanaweza kumtambua mara moja kuwa anachokisema au kukisoma kama taarifa ni kuwa hana uhakika nacho, hakina fact details zisizo na shaka kuwa anachokisema kipo......
Lakini ndiyo hivyo. Haya ndiyo professional police wa Tanzania wanaweza kufanya. Hapa hakuna lolote. Hawa ni makada wa CCM waliovishwa sare za polisi na kufanya shughuli za kipolisi. Hawa ndio mchana polisi, wakitoka hapa wanavua sare na kuanza kuteka watu, kuwatesa, kuwaua kisha kuwatupa polisi na nyikani kama mizoga ya panya.....
Kwa kifupi bila hata kusikiliza CHADEMA wanajibu nini, utajua tu kuwa taarifa yake ni ya UONGO tena UONGO WA KUTUNGA MCHANA KWEUPE sawasawa na uongo wa KESI YA UGAIDI WA MBOWE (2020/2021) iliyotungwa na hawahawa police Ramadhani Kingai na IGP wa sasa Camillius Wambura) na Kesi ya UGAIDI WA WILFRED LWAKATARE iliyotungwa na kina Mwigulu Nchemba wakati huo akiwa katibu wa itikadi na uenezi CCM.....
Kesi hizo zote hizi zilikuwa shambulio dhidi ya kuiua na kuifuta kabisa CHADEMA lakini zote kwa msaada wa Mungu wa mbinguni, zilishindwa vibaya na CHADEMA ipo na inakwenda kuchukua dola la nchi hii... !! View attachment 3082893
Unaweza pia kutazama na kusikiliza reaction ya CHADEMAππ»ππ»ππ».....
Na mimi niwapongeze CHADEMA kwa kuharakisha kujibu tuhuma hizi za ajabu na uongo toka kwenye chombo tunachoamini kiwe namba moja kusimamia sheria na katiba kwa haki na usawa kwa kila mtu na kwa kila taasisi. Lakini kwa jinsi mambo yalivyo sasa, ni wazi kuwa JESHI LA POLISI sio tegemeo tena la kulinda usalama wetu kwa sababu limeshakuwa scrambled and compromised na uhalifu na uovu. Hawa ndiyo majambazi na magaidi yenyewe kwa jina la POLICE.....!!
Lakini inashangaza sana kuwa baadhi ya maafisa wa Jeshi la polisi wenye mamlaka ya kutoa amri na maelekezo ya utendaji kazi wa kila siku wa walio chini yao wamegeuka kuwa mawakala wa shetani wakikandamiza haki kwa kuwateka watu, kuwatesa na kuwaua na kisha kuwatupa kama mizoga ya ndege porini au nyikani...
Makosa ya hawa watu wanaoteswa na kisha kupigwa risasi na kuuwawa eti ni kwa sababu tu ni wakosoaji wa viongozi wa CCM na serikali yao dhidi ya sera na mipango yao ya hovyo kwa nchi hii iliyoshindwa kuleta mabadiliko na maendeleo endelevu kwa kasi inayotakiwa.... View attachment 3082908
HII HAIKUBALIKI HATA KIDOGO. NI LAZIMA TUPAMBANE NAO NA KWA MSAADA WA MUNGU ALIYE HAI TUTASHINDA LAZIMA......
Ukitaka jua jeshi la police ipo na askari wa ajabu wengi na chini ya viwango japo sio wote ulizia mtu aliekaa kwenye sero zao jinsi wanavyokua treated utadhani ni mbwa sio binadam ilihali yule bado ni mtuhumiwa na mahakama haijamtia hatiani.
Alafu chukua hii ya police na chadema , wanasahau kwamba sio kila nwananchi anaumizwa na wao ni mwanachadema ,wengine hawana vyma ila kwa njia moja au nyingine wameumizwa na police , na nyoyo zao zinavuja dam , so na hao siku wakilipuka mseme ni chadema.
Na je kwa kauli hii ya jeshi la police ni kwa manufaa ya nani ? Nchi au genge la watu wachache tu . Hii ni hatari sana , wananchi haitatokea wakakaa kimia , watakuja na come back .
Makaburu waliteka sana ,walitesa sana walinyonga adharani ili kujenga hofu ila bado comeback ya wananchi iliwavulumisha.
Utawala dhalim hauwezi kaa madarakani milele .
Police jitengeni na wanasiasa fanyeni kazi kwa mjibu wa taratibu za kazi yenu , vinginevyo taifa linaenda kubaya .
Zaidi nasikia vinauzwa, na wachache wanajisombea tu!
Endeleeni kuzuzuka tu, mkishtuka, mmekwisha!
Turudu madani, Chadema na nyie muache sarakasi, tangu mmeanza kuomba na kuhudhuria maridhiano na CCM, malalamiko yenu hayajabadilika.
- Kama mtaendelea na mbinu zile zile mkitegemea mabadiliko, mnabakia kuwa WACHUMIA TUMBO tu kama CHAWA WA CCM.
Kwahiyo hapo unaona umemsafisha yule dikteta wa Chato dhidi ya aliyoyaasisi?
Samia na yeye walikuwa serikali moja ameamua kufuata muelekeo ule ule.
Wakati Kenyatta anafariki, Moi alikuwa rais akaja na msemo wa "Fuata Nyayo" baadae akageukia kuwa dikteta wa kutisha hata alipoozuliiwa kikatiba kugombea muhula wa 3 baada ya mabadiliko ya kikatiba kurudisha chaguzi za vyama vingi.
Aliamua kumuweka Uhuru kama mrithi wake ili akishinda amkingie kifua dhidi ya aliyoyafanya na kulinda maslahi yake .
Wachumia tumbo wanajulikana ni kama yule spika asiyejitambua anazuia watu wasizungumzie kutekwa huku yeye na familia yake wakiwa na ulinzi muda wote 100% kama mkuu wa mhimili wa kiutawala.
Hivyo simama kutetea utekaji bila kuangalia vyama.
Zaidi nasikia vinauzwa, na wachache wanajisombea tu!
Endeleeni kuzuzuka tu, mkishtuka, mmekwisha!
Turudu madani, Chadema na nyie muache sarakasi, tangu mmeanza kuomba na kuhudhuria maridhiano na CCM, malalamiko yenu hayajabadilika.
- Kama mtaendelea na mbinu zile zile mkitegemea mabadiliko, mnabakia kuwa WACHUMIA TUMBO tu kama CHAWA WA CCM.
Yaani hapo ilitakiwa wadakwe wote walioshiriki Zoom meeting, content zima iwekwe hadharani ili wananchi tujue na jamaa kama wana makosa ya kisheria wafunguliwe mashtaka haraka.
Anaitwa GIDEON MLOKOZI MASHANKARA ana umri wa miaka 30, mkazi wa Tabata Segerea, Kazi yake ni mfanyabiashara wa kuuza magari lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku ya saba leo baada ya kutekwa na kupotezwa. Alitekwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wa...
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo. Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka...