Mwezi June niliwahi kusimulia kisa hapa
Msaada juu ya PEP
Wiki saba zimepita sasa toka nilipopata exposure na pia ni wiki tatu Sasa tangu nimalize dose ya PEP, nimeenda kupima tena nimeambiwa sina maambukizi nirudi baada ya miezi mitatu
TUJIFUNZE
sometimes unaweza ukaona kama maigizo mpaka yakukute na usiombe yakakuta, wengi hupenda kuja kufanya mizaha hapa jukwaani. Usiombe yakakuta maana hata kama ulikuwa mbabe saana au mjanja sana basi lazima uwe mdogo kama piritoni.
Ninachotaka ujufunze ni kuzishinda tamaa za kimwili na kuachana na uzinzi kwani hakuna bingwa wa ngono wala kombe utakalopewa.
Epuka kupima kwa macho maana huyo niliyemsimulia hapo juu ukimwona huwezi mdhania kwani alivyonielekeza mnene na makalio ya haja.
Si kazi rahisi hata kidogo kumaliza dose ya PEP kwani zinalevya mno na kuchosha. Unakuwa kama mgonjwa Mgonjwa, kichwa kuuma, kutapika na kuharisha. Ukilala usiku ndoto za kutisha, pia hata ubongo haufanyi kazi ipasavyo.
Naomba kupitia mm ujifunze na ubadili mwenendo
Msaada juu ya PEP
Wiki saba zimepita sasa toka nilipopata exposure na pia ni wiki tatu Sasa tangu nimalize dose ya PEP, nimeenda kupima tena nimeambiwa sina maambukizi nirudi baada ya miezi mitatu
TUJIFUNZE
sometimes unaweza ukaona kama maigizo mpaka yakukute na usiombe yakakuta, wengi hupenda kuja kufanya mizaha hapa jukwaani. Usiombe yakakuta maana hata kama ulikuwa mbabe saana au mjanja sana basi lazima uwe mdogo kama piritoni.
Ninachotaka ujufunze ni kuzishinda tamaa za kimwili na kuachana na uzinzi kwani hakuna bingwa wa ngono wala kombe utakalopewa.
Epuka kupima kwa macho maana huyo niliyemsimulia hapo juu ukimwona huwezi mdhania kwani alivyonielekeza mnene na makalio ya haja.
Si kazi rahisi hata kidogo kumaliza dose ya PEP kwani zinalevya mno na kuchosha. Unakuwa kama mgonjwa Mgonjwa, kichwa kuuma, kutapika na kuharisha. Ukilala usiku ndoto za kutisha, pia hata ubongo haufanyi kazi ipasavyo.
Naomba kupitia mm ujifunze na ubadili mwenendo