Bado Chadema na vyama vya upinzani hamjachelewa tangazeni kujiondoa kushiriki uchaguzi wa Tamisemi. Hakuna uchaguzi hapo

Bado Chadema na vyama vya upinzani hamjachelewa tangazeni kujiondoa kushiriki uchaguzi wa Tamisemi. Hakuna uchaguzi hapo

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kwanza Mimi siwezi kuuita uchaguzi wa serikali za mitaa kama hauna mandatory ya kisheria juu ya wasimamizi. Ni mpumbavu pekee atatetea Tamisemi kusimamia uchaguzi ingawa hakuna uwazi na mkuu wake akiwa mwanachama wa CCM. Waziri wa TAMISEMI ni mwanachama wa CCM na kwa Sheria za ushindani na uwazi hawezi kuplay fair never. Tumeanza kuonana uhuni wa Hawa watumishi mizigo wa taifa letu kuleta uhuni. Sasa mawzo ni haya tu achaneni na mambo ya uchaguzi kama 2019 wachaguane wenyewe muda ndiyo utakuja kuamua Nini Cha kufanya.
 
Tatizo vyama mamluki vitahongwa na vitakubali kushiriki na kuhalalisha uchaguzi batili.
 
Unashusia bucha fisi , unategemea nini? Uchaguzi uliopita walishusia nini kiliendelea?
Pambana na hayo makandokando mpaka kieleweke
 
Kwanza Mimi siwezi kuuita uchaguzi wa serikali za mitaa kama hauna mandatory ya kisheria juu ya wasimamizi. Ni mpumbavu pekee atatetea Tamisemi kusimamia uchaguzi ingawa hakuna uwazi na mkuu wake akiwa mwanachama wa CCM. Waziri wa TAMISEMI ni mwanachama wa CCM na kwa Sheria za ushindani na uwazi hawezi kuplay fair never. Tumeanza kuonana uhuni wa Hawa watumishi mizigo wa taifa letu kuleta uhuni. Sasa mawzo ni haya tu achaneni na mambo ya uchaguzi kama 2019 wachaguane wenyewe muda ndiyo utakuja kuamua Nini Cha kufanya.
Wafanye hivyo
 
Back
Top Bottom