Bado hali ni tete Udsm!

Jitihada

Senior Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
155
Reaction score
10
Wakati wanafunzi wa udsm wakiwa wanajaribu kuusubili ujio wa waziri wa elimu chuoni hapo, hali ya utulivu bado si ya kiwango cha juu kwani kumekuwa na maandamano ya hapa na pale kuzunguka maeneo ya chuo kwa lengo la kuonyesha mshikamano wa pamoja. Baadhi ya wanafunzi wengine walio wachache wameonekana wakiwa wapowapo tu hasa katika viunga vya chini ya mdigrii huku wakisubili kitakachoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…