Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ambulance π imebeba watu saba, imekuwa daladala?
Hii position ndio ilizaa neno EksiHii style inaitwaje? Mbona sijawahi kuiona?[emoji23]View attachment 2410067
Sarakasi hizoHii style inaitwaje? Mbona sijawahi kuiona?[emoji23]View attachment 2410067
Hii position ndio ilizaa neno EksiHii style inaitwaje? Mbona sijawahi kuiona?[emoji23]View attachment 2410067
Ha ha ha,haya mambo unaweza ukacheka.....daaa
Ilitakiwa hapa uongeze na picha wakati wa ajali,wale jamaa wakiosimama pembeni.Kama unafikiri Dunia hii umeona kila kitu, hapana. Ona hii;
"Aliyeokoa anaenda kufundishwa uokoaji na waliyoshindwa kuokoa."
'Made in Tanzania'. [emoji1241]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2409941
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mshana hawa jamaa,wataanza kukusaka unajua.[emoji28][emoji28][emoji28]
Zawadi ni zawadi....huwezi kumpangia mtu cha kukuzawadia labda aamue kukuuliza yeye.Mvuvi Majaliwa alifanya kwa freewill bila ya kuongozwa na yeyote.. Huko alikopelekwa kapelekwa store atafanya kazi chini ya maelekezo ya wakubwa!