Bado kidogo wanaume wataolewa!

Status
Not open for further replies.

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Ni mtazamo wangu kwa sababu naona vijana wengi wanaokua sasa hivi
wakiwa kwenye mikakati mizito ya jinsi ya kupata mijimama au wanawake
wenye pesa.
1.Ni wavivu
2. Wanatumia muda mwingi kujiremba kama wafanyavyo wanawake.
3.Huthubutu hata kutumia vipodozi vya wanawake.

Siku zinakuja, tutashuhudia Vijana hawa wakiolewa na wanawake... INASIKITISHA!
 
Mbona hii ya wanaume kuolewa tayar ipo hapa mjini dsm...
 

Waolewe mara ngapi? Mbona walishaolewa kitambo!
 

Utafiti wako umeufanya maeneo yepi?
 
Wewe unakaa wapi,uswazi juzi kama masela wawili wamechukuliwa wameshawekwa ndani ala cheza na maisha haya
 
Waolewe mara ngapi? Mbona walishaolewa kitambo!
Ha ha ha haa! Bado mkuu ni dalili tu itafika wakati ndoa zitafungwa na
wanaume watakaa nyumbani huku wanawake wakienda kazini!
 
Utafiti wako umeufanya maeneo yepi?
Kinondoni, Magomeni na kwa vijana walioko Sekondari na wale waliomaliza
siku za karibuni katika mkoa wa Dar es salaam
 
Wazungu wenzetu ktk lugha yao hakuna neno kuolewa ktk namna kama ya kiswahili!wao ni kuoana!hivyo linaondoa utabaka ktk ndoa!
 
Nimependa huu uzi hasa kwa kitu kimoja, comments za watu hazichoshi kuzisoma maana wanaandika maneno mawili au yakizidi saaana maneno matatu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…