Ni mtazamo wangu kwa sababu naona vijana wengi wanaokua sasa hivi
wakiwa kwenye mikakati mizito ya jinsi ya kupata mijimama au wanawake
wenye pesa.
1.Ni wavivu
2. Wanatumia muda mwingi kujiremba kama wafanyavyo wanawake.
3.Huthubutu hata kutumia vipodozi vya wanawake.
Siku zinakuja, tutashuhudia Vijana hawa wakiolewa na wanawake... INASIKITISHA!
Ni mtazamo wangu kwa sababu naona vijana wengi wanaokua sasa hivi
wakiwa kwenye mikakati mizito ya jinsi ya kupata mijimama au wanawake
wenye pesa.
1.Ni wavivu
2. Wanatumia muda mwingi kujiremba kama wafanyavyo wanawake.
3.Huthubutu hata kutumia vipodozi vya wanawake.
Siku zinakuja, tutashuhudia Vijana hawa wakiolewa na wanawake... INASIKITISHA!
Wewe unakaa wapi,uswazi juzi kama masela wawili wamechukuliwa wameshawekwa ndani ala cheza na maisha haya