NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kweli ameonyesha bado ana kitu, apewe Muda.Winga machachari (Messi wa bongo) Denis nkane kijana pendwa wa Prof Nabbi leo kapata nafasi ya kucheza Baada ya kukosa mechi kadhaa kwa tatizo la kusumbuliwa na majeraha.
Bwana mdogo karudi Tena uwanjani hakika bado nafasi yake ipo katika kikosi Cha Yanga kutokana na kujituma kwake na ukizingatia umri bado unamruhusu.
NALIA NGWENA napendekeza kijana apewe muda kwani anayo nafasi ya kufanya makubwa ndani ya Yanga.
Yeye siyo ngasa. Aache kujifananisha na ngasa. Hii itampunguzia mzigo mkubwa sana. Acheze mpira bado mdogoWinga machachari (Messi wa bongo) Denis nkane kijana pendwa wa Prof Nabbi leo kapata nafasi ya kucheza Baada ya kukosa mechi kadhaa kwa tatizo la kusumbuliwa na majeraha.
Bwana mdogo karudi Tena uwanjani hakika bado nafasi yake ipo katika kikosi Cha Yanga kutokana na kujituma kwake na ukizingatia umri bado unamruhusu.
NALIA NGWENA napendekeza kijana apewe muda kwani anayo nafasi ya kufanya makubwa ndani ya Yanga.
Kweli kabisa unachokisemaYeye siyo ngasa. Aache kujifananisha na ngasa. Hii itampunguzia mzigo mkubwa sana. Acheze mpira bado mdogo
Kweli huyu bwana mdogo bado Kuna gape lake wampe nafasi zaidiNami nimeona ameonesha mchango mkubwa sana mechi ya Leo baada ya kuingia
DOGO ANA TALANTANami nimeona ameonesha mchango mkubwa sana mechi ya Leo baada ya kuingia
Kama NgushiKitu kinachoshangaza Baadhi ya wachezaji wa kibongo muda wa usajili Ukifika wanaongeza juhudi.