KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Kwangu mimi usajili bora uliofanyika ni usajili wa Luis na Bwaliya.Baada ya mechi ya jana dhidi ya Gwambina nmekuuliza maswali mengi sana juu ya kiwango cha Morrison.
1. Huyu ndo alikuwa nyota wa Yanga?
2. Akiendelea kucheza mpira wa kisharo namna ile Simba tutamvumilia?
1. Huyu ndo alikuwa nyota wa Yanga?
2. Akiendelea kucheza mpira wa kisharo namna ile Simba tutamvumilia?