Mimi mwenyewe naitafuta... ukipata nistueHuyu mtoa mada ni utopolo mwenye rangi ya Kihindi
Morrison ni wetu na tunampenda vyovyote msemavyo, zaidi peleka malalamiko yako FIFA.
Hivi jamani hakuna Mwenye ile pasi ya mgongo ya Morrison kuna baba Mkwe hapa anataka kunipatia mtoto wake mwingine kwa pasi ile tu nikimuonesha.
Achana na assist yake ambayo itatumika kujaza full tank kwenye gari la maharusi
Mbona yuko vizuri. Aliingia dk ya 68 na bado akatoa assist 1 ya pekee (kumbuka magoli mengine 2 yalitokana na adabu ndogo). Pace yake upande wa kushoto iliwasubua sana mabeki. Kabla ya kuingia mashamulizi yalikuwa yakitokea kulia tu.
Assist yake umeiona?Kwangu mimi usajili bora uliofanyika ni usajili wa Luis na Bwaliya.Baada ya mechi ya jana dhidi ya Gwambina nmekuuliza maswali mengi sana juu ya kiwango cha Morrison.
1. Huyu ndo alikuwa nyota wa Yanga?
2. Akiendelea kucheza mpira wa kisharo namna ile Simba tutamvumilia?
Kwangu mimi usajili bora uliofanyika ni usajili wa Luis na Bwaliya.Baada ya mechi ya jana dhidi ya Gwambina nmekuuliza maswali mengi sana juu ya kiwango cha Morrison.
1. Huyu ndo alikuwa nyota wa Yanga?
2. Akiendelea kucheza mpira wa kisharo namna ile Simba tutamvumilia?
mashabiki mandazi ndio hawa sasa. kwake yeye mchezaji bora ni anayefunga. sijui bila BM goli la Mugalu lingetokea wapi
[emoji23] [emoji23]We kaa kmya najua kabsa kichwani kwako kuna nini.Huna uwezo wa kujenga hoja kwenye uzi wangu zaidi tu ya kutukana.
bila shaka mpira huujui, mchezaji ubora wake hauonekani kwenye kufunga tu, bali hata kutengenezea wenzake wafunge.Uzi wangu ni wa matusi?