bado natafuta mchumba awe mke

bado natafuta mchumba awe mke

Tswana14

Senior Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
167
Reaction score
73
Habari zenu waungwana mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa natafuta mchumba ambaye baadae atakuwa mke awe na elimu kuanzia kidato cha nne umri kuanzia miaka 23 aliye interest tuwasiliane pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu waungwana mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa natafuta mchumba ambaye baadae atakuwa mke awe na elimu kuanzia kidato cha nne umri kuanzia miaka 23 aliye interest tuwasiliane pm

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa 23 bado binti foolish age bado ujana unamsumbua Halafu uje ulie umetendwa[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] ntakutoa nduki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom