Wala haja jitundika Sasa je Ata mpataje mwenza mwenye Hali kama yake? Hataki kuambukiza wengine thus why ame thubutu kujipambanua kwa Hali yake na nia yakeKuwa HIV+ siyo "hukumu ya kifo"... huna haja ya kujitudinka kwenye mitandao...
Dawa ya HIV ipo dozi ni miezi 3.Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Nenda nyanda za juu kusiniNina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Ungeweka email ama no ya simu mpya mana mtu akikudm inamana anakuja na id yake sasa amani ile hatakuwa nayo mana hana hakika kama umeamua tu kuandika ama ni kweliNina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Nashukur kwa ushauri..Ungeweka email ama no ya simu mpya mana mtu akikudm inamana anakuja na id yake sasa amani ile hatakuwa nayo mana hana hakika kama umeamua tu kuandika ama ni kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nashukuru.
What if kazaliwa nao?? Why are you being that judgemental?? Kwamba ninyi ni wema sana? Kwamba mnaijua kesho yenu? What if ukawa muaminifu lakini mwenza wako akakuletea?Hahahah..! Kwahiyo akampate mwathirika mwenzake[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
nikuombe huruma au nitafute huruma ile nipate nini acha endelea kujifurahisha zaid ya hapa nahis sitakujibu kingine.
Na wanaweza kuwa wasafi wenza wao wakawaletea ndani vilevileWhat if kazaliwa nao?? Why are you being that judgemental?? Kwamba ninyi ni wema sana? Kwamba mnaijua kesho yenu? What if ukawa muaminifu lakini mwenza wako akakuletea?
Ifikie pahala muache kutoa hukumu zenu za kipilato wakati ninyi wenyewe siyo wasafi.!!
Ndicho kitu nimemuuliza hapo pia.!! 'Binaadamu' dah'.!!
Ole wako. Eeeh ole wako.
Ni muda mrefu toka umeanza kutafuta nazan ni zaid ya miaka 3 sasa bado haujapata, au labda kuna vigezo vigum wanakutana navyo maana nakumbuka kuna jamaa yangu niliishakukonect nae akaja hadi huko .Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu ili kufanikisha ndoa.
Lbda ni ishu ya muda, inshallah mwambie ndugu yako azid kutafuta pia.. mana sio kila ataekufata basi atakua sahihi kuwa mwenza wako mana unawez kufatwa hata na wasio na dhamira kama ulizonazo.. so miaka sio tatizo.Ni muda mrefu toka umeanza kutafuta nazan ni zaid ya miaka 3 sasa bado haujapata, au labda kuna vigezo vigum wanakutana navyo maana nakumbuka kuna jamaa yangu niliishakukonect nae akaja hadi huko .
Sent using Jamii Forums mobile app