bado neoo 'Katiba' kwa wengne ni kitendawili

Joined
Sep 23, 2013
Posts
27
Reaction score
4
Habari gani wana JF mko poa..?
Leo nimeona ni vyema tukajulishana na kukumbushana juu ya neno Katiba kwasababu mpaka mda huu kuna baadh ya watu ukiwauliza katiba ni nini bado hafahamu alafu anakuambia anataka katiba mpya duuh inaingia akilini kweli...
Hebu leo tujuzane hata kwa madarasa huru ili tuweze kuipata katiba mpya inayofaa... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…