bado ninaimani na JF

bado ninaimani na JF

luku_77

Senior Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
176
Reaction score
19
habari za leo wa jf ? anae tafuta hachoki bali hupumzika tu, leo naamua niendelee na zowezi la usaili

umri wangu ni 35 jisia mme nina watoto 2. elimu ataijuwa badae, rangi yangu mweusi, nafanya kazi ambayo inakizi mahitaji ya msingi.
ninae mtafuta wakike miaka 22 hadi 32 sifa mama awe MKWELI na anaejitambua yeye ni nani sibaguwi dini kabila wala elimu ila atakae ongea kisukuma kwa ufasaha atapewa nasi twanga hapa 0773383100 sitajib sms.
 
mshirikishe pia na Mungu katika hilo.
all the best.
 
Afadhali upate wa kukulelea watoto maana jua ndo linakuchwa hivyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmmmh kisukuma kazi bwana, punguza masharti
 
mimi niko very interested lakini....mama wa watoto yuko wapi.....? na tukitokea kuwa pamoja kama yupo hawezi kuja kunichanachana uso na kiwembe......?
 
mimi niko very interested lakini....mama wa watoto yuko wapi.....? na tukitokea kuwa pamoja kama yupo hawezi kuja kunichanachana uso na kiwembe......?

hofu yanini..?
kama unaogopa kujaribu haifai kabisa.! siku zote ukiwa na hofu na unachotaka kufanya hata ukijaribu hutafanikiwa. nakutakia siku njema.
 
Back
Top Bottom