mshirikishe pia na Mungu katika hilo.
all the best.
Afadhali upate wa kukulelea watoto maana jua ndo linakuchwa hivyo
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mmmmh kisukuma kazi bwana, punguza masharti
mimi niko very interested lakini....mama wa watoto yuko wapi.....? na tukitokea kuwa pamoja kama yupo hawezi kuja kunichanachana uso na kiwembe......?
mama wa watoto yuko wapi?