KERO Bado nipo na Madaktari; kazi yenu ni kuchunguza na kutibu wagonjwa na wala siyo kuwakaripia na kuwabughudhi

KERO Bado nipo na Madaktari; kazi yenu ni kuchunguza na kutibu wagonjwa na wala siyo kuwakaripia na kuwabughudhi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Jambo la kuzingatia:
Nitatumia DAKTARI kumaanisha wahusika wote wa sehemu za huduma za afya. Pia Nitatumia HOSPITALI kumaanisha sehemu zote zinazotoa huduma za afya

Ujue tumezoea kwenye majeshi ndiyo sehemu za kukaripiwa bila sababu mpaka na mitama au makofi muda mwingine. Sasa ajabu ni kwamba kuna madaktari nao wanatamani kama ingewezekana hata wangeruhusiwa kutupiga mitama

Mtu kaja anaumwa tena anakaripiwa si ndio atakuwa anaongezewa homa. Mimi naona ukinipokea cha kwanza nihudumie halafu hayo mengine tuwekane chini baada ya huduma (na sijui utaupatia wapi huo muda)
 
🤣🤣🤣
Nimependa maneno kwenye mabano anyway pole sana.
 
Kama unazingua utakaripiwa,
Ni kweli huduma inatakiwa bora, ila sometimes wagpnjwa wanazingua sanaaa
 
Kama prof wa moyo!! anatukaripia wengi sana.
Moja wa wito wa alexander the great, ulikuwa ni madaktari wake wabebe jeneza lake siku ya kifo chake., ili ijidhihirishe kuwa hakuna daktari anayeweza kukiepusha kifo.
 
Jambo la kuzingatia:
Nitatumia DAKTARI kumaanisha wahusika wote wa sehemu za huduma za afya. Pia Nitatumia HOSPITALI kumaanisha sehemu zote zinazotoa huduma za afya

Ujue tumezoea kwenye majeshi ndiyo sehemu za kukaripiwa bila sababu mpaka na mitama au makofi muda mwingine. Sasa ajabu ni kwamba kuna madaktari nao wanatamani kama ingewezekana hata wangeruhusiwa kutupiga mitama

Mtu kaja anaumwa tena anakaripiwa si ndio atakuwa anaongezewa homa. Mimi naona ukinipokea cha kwanza nihudumie halafu hayo mengine tuwekane chini baada ya huduma (na sijui utaupatia wapi huo muda)
Pale JKCI kuna Daktari mmoja wa Kihaya jeuri sana anakaripiwa wagonjwa hovyo ana majivuno na kuona watu wote ni mataahira kwake.
Mimi nilimwambia nimeumwa maradhi ya moyo miaka 45 yeye kasoma udakari wake miaka si zaidi ya kumi hivyo najielewa kuliko anavyoweza kunielewa na kwa muda huo nimeona madaktari wengi sana akiwemo bosi wake Dr Kisenge lakini hawana shobo kama zake.
Consultation fee pale kwa madoctor ni tsh 35000- yeye ni 25000- walinipangia sikumchagua.
 
Back
Top Bottom