Bado njaa inazidi kuuwa Kenya

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Dah! Kwa namna Wakenya wanavyotapika hapa jukwaani, kwa mtu usiowafahamu unaweza Sema wao wapo levels, kwa namna wanavyowazodoa Watanzania kwamba ni wavivu sana na wenyewe Wakenya ni wachapa Kazi hodari unaweza Sema kwao kila kitu kipo sawa...

Ila kiukweli Wakenya mnahitaji Mapinduzi ya kifikra, kuna thread ililetwa juzi kwamba Tanzania uchumi umeshikwa na wageni ila wageni wanaozungumzwa ni waagizaji wa bidhaa nje ya nchi kama petrol, mafuta ya kupikia, usafirishaji na bidhaa nyingine zisizozalishwa Tanzania

Kenya story ni tofauti sababu huko ni wazungu ndio wameshika uchumi haswa, hapa nazungumzia ardhi ambayo ndio uchumi wenyewe, utashangaa Wakenya wakijitapa wanaongoza kuuza maua na chai huku watu wakifa na njaa, the little fertile pizza has been chopped off by the foreigners and use for their sake

Mbaya zaidi ni kwamba hata miradi ya umwagiliaji ya mabilioni ya shilingi wameyafisadi na yenyewe ila huku hawakauki kumzodoa simba wa Vita ya rushwa JPM dah! Inachekesha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Angalieni wanavyoteseka, hii ndio middle income, nafikiri hao waliowaweka kwenye hilo group wana hitilafu kichwani..


 
This is the Kenya that I know, poverty striken hell pit with double effect impact πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Am keeping exploring my magical poverty 1O1, with breath taking experience, kuna watu Wanafikiri umasikini Kenya upo yale maeneo kame tu

 
Unaambiwa 56% ya wakenya waishio mjini wanaishi kwa slums...tafakari
 
This is the Kenya that I know, poverty striken hell pit with double effect impact πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wewe kama nilivyosema juzi you come across as a sadist ,a sociopath and a psycopath.Hizi nyuzi na topics zinazokufurahisha certainly reveal your dark side and impaired personality disorder.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duh, nilifikiri wakenya ni matawi ya juu kumbe wamechoka kama hivi? Aisee.
 
Am keeping exploring my magical poverty 1O1, with breath taking experience, kuna watu Wanafikiri umasikini Kenya upo yale maeneo kame tu

Yaani hawa ndio wavivu haswa, wenyewe wana ardhi nzuri ambayo Wakenya almost wote hawana ingetakiwa ndio walime haswa kuilisha nchi lakini ukiwaona tu unaona hata hiyo miti wanayopewa wataitelekeza tu kwenye pori bila kuihudumia
 
Dawa ya deni kulipa! Lipeni deni la mkulima. Katu hatawasamehea hadi mtakapomlipa hela zake. Dunia imebadilika, mambo ya kusameheana madeni yalipitwa na wakati.
 
Wewe kama nilivyosema juzi you come across as a sadist ,a sociopath and a psycopath.Hizi nyuzi na topics zinazokufurahisha certainly reveal your dark side and impaired personality disorder.
Jikite kwenye hoja tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…