Bado sijaona wa kumfunga Uhispania hadi sasa

Pasi sio ushindi
 
Spain wabovu. Huwezi kumiliki mpira vile halafu ukashindwa kufunga goli.
 
Imenibidi nirudie tena kuusoma huu uzi, mtoa mada ni mchambuzi kanjanja tu asiyeufahamu vyema mpira wa kisasa
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wewe usiseme hivyo. Labda ungewaambia Spain kuna uzi wao wangekaza wasikuangushe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi ni team France + Argentina.
Uhispania aikutolewa kwa kufungwa dk 90 bali wametolewa kwa matuta.
 
Spain πŸ‡ͺπŸ‡Έ anachukua ndoo.
Mm niliwaona kwenye Euro, walitolewa kwa bahati mbaya tu ila boli wanapiga. Nilijua tu watajiimarisha zaidi. Wamerejea tena.
Walitolewa achana na bahati mbaya.. Ndo anachukua Muingereza 😜😜😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…