Elections 2010 Bado siku 7, shekhe yahya vipi?

boma2000

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2009
Posts
3,279
Reaction score
310
Tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2010 mtabiri 'maarufu' wa Bongo shekhe yahya hussein alisema si mara moja kuwa uchaguzi mwaka huu hautakuwepo na akaendelea kuweka mkazo kuwa hakuna uchaguzi na wanaobisha wataona kama utakuwepo, haya bado siku saba tu tuchague wabunge na raisi tunaemtaka ili aunde serikali, wanaoelekea zaidi kuupata ni JK na Dr Slaa, wengine wanaonekana wasindikizaji. sasa sijui shekhe Yahya ataficha wapi uso wake machoni mwa Watanzania
 
labda alimaanisha kwake yeye hakuna uchaguzi mwaka huu. Ina maana hataweza kuchagua
 
Taarifa kamili msikilize leo saa 3:30 usiku chanel ten,amehaidi kuweka mambo hadharani.
 
Kwanzalisema atakaeshindana na jeykey atakufa,huyu mzee ni bogas achana nae
 
Taarifa kamili msikilize leo saa 3:30 usiku chanel ten,amehaidi kuweka mambo hadharani.

mambo gani hayo anataka kuweka hadharani?mwambie akamwekee jeykey na familia yake sio watanzani tunachohitaji kwa sasa ni ukombozi sio uchawi wake
 
Sidhani kama kuna umuhimu wa kumjadili mchawi na kauli zake kama wewe huna imani hizo..

We mpotezee tu!
 
tumwombee huyu babu apumzike kwa amani, yoko fainali kama kombe la dunia, anatafuta pa kufia
 
Kinachoshanagaza ni jinsi hakuna sheria za Kijamii zinazoweza kumuweka Mzee kama huyu...sehemu yake inayostahili!

Amekuwa msubufu sana ...na wakati mwingine usumbufu wenyewe..wa kuhatarisha !!
 
Taarifa kamili msikilize leo saa 3:30 usiku chanel ten,amehaidi kuweka mambo hadharani.
Mkuu tupe taarifa kasemaje kama umeangalia hicho kipindi kasemaje babu wa mizimu???
 
Okoeni mda jamani kuna mambo ya msingi ya kujadili
 
Hivi hajaenda kwa amani bado?
si alisema kuwa sipokufa mtu atakufa yeye?
 

kalazwa jamani msamehenii mgonjwa...
 
Leo ni jumatano bado siku 4 tu, tunasubiri mtu wa kufa ama mgombea ama shekhe yahya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…