Bado Trilioni 3 Tu TRA (Tzn) Kuipita KRA (Ken) Makusanyo ya Kodi. Kishindo Cha Tanzania ya Samia Kitapeleka vilio Kwenye Uchaguzi wao 2027

Bado Trilioni 3 Tu TRA (Tzn) Kuipita KRA (Ken) Makusanyo ya Kodi. Kishindo Cha Tanzania ya Samia Kitapeleka vilio Kwenye Uchaguzi wao 2027

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Tanzania Kupitia TRA inaenda Kuwapita Wakenya kwenye Makusanyo ya Kodi mwaka 2027 kwani Bado Shilingi Trilioni 3 Kuwafikia.

Hapo kabla Kenya ilikuwa imewekwa Gap la zaidi ya Trilioni 7 lakini juhudi za Serikali ya Samia kuhamasisha uwekezaji na ulipaji Kodi wa hiari zimeanza kuzaa matunda Kwa kupunguza gap kubwa lililokuwepo.

Kwa mujibu wa data rasmi kutoka taasisi hizo za Kodi ulinganishi niliodanya unaonesha kwamba Kwa kipindi Cha miezi 6 ya mwaka wa Fedha 2024/25,TRA imekusanya Shilingi Trilioni 16.5 huku KRA ya Kenya ikikushanya Kshs.1.07 (Tshs.20.T) sawa na tofauti ya Shilingi Trilioni 3.5 tuu.

View: https://x.com/BD_Africa/status/1881778910087557223?t=q-ekZhQFkuEuGSbCwr0NGg&s=19
Screenshot_20250123-222953.jpg


Kwa mikakati na uwekezaji Unaoendelea Nchini wa kufungua Nchi na hakika mwaka 2027 TRA itawapita Kenya na Kupeleka Kilimo kikubwa zaidi Kwa Kasongo yeye akiwa kwenye uchaguzi.

Mfano miradi ifuatayo ikianza kitema tuu basi wamekwisha.

1.Bomba la Mafuta la EACOP 2026,hapo Kuna zaidi ya Trilioni 1 na ujenzi uko over 50%

View: https://x.com/InfraUganda/status/1882698679984812250?t=8C44ayDwx2wf8qNcNnCkUA&s=19

2.Ubungo Logistics Centre ,2025

3.Kukamilika Kwa mradi wa Mapipa ya Mafuta Bandari ya Dar 2026.

4.Kukamilika Kwa upanuzi wa Bandari za Dar,Mtwara ,Tanga Kilwa, Zanzibar na zile za Maziwa makuu 2027.

5.Kukamilika Kwa viwanja vya ndege zaidi ya 5 mwaka 2026

7.Utitiri na kumiminika Kwa wawekezaji hasa wa viwanda

8.Kupanuka Kwa Kasi Kwa sekta ya Utalii na Kilimo.

9.Kuanza Kwa biashara masaa 24 jijini Dar

10.Kuanza Kwa uzalishaji kwenye migodi mikubwa ya Madini hasa Kinywe Lindi na Karagwe/Kahama.

My Take
Samia ataandika historia ya kuwa Rais wa kwanza Kuipita Kenya kimapato mwaka 2027 lakini Kuipita Kiuchumi mwaka 2030.

View: https://www.instagram.com/p/DFLeLF6C3Su/?igsh=MWVwanRoZHFmbDNlZg==
 
Ukuaji wa uchumi uendane na ustawi wa maisha ya watu.

Ustawi wa maisha ya watu unabeba vitu vingi.
1. Vipato vya mtu mmoja mmoja.
2. Utoaji wa elimu Bora.
3. Ujenzi wa makazi Bora.
4. Ujenzi wa miundo mbinu Bora.
5. Ardhi na viwanja vilivyopimwa.
6. Uwepo wa ajira.
7. Uzarishaji wa bidhaa na sio uchuuzi.
8. Huduma Bora za Afya.
9. Jamii ya watu yenye uelewa na kujitambua.
10. nk.
 
Ukuaji wa uchumi uendane na ustawi wa maisha ya watu.

Ustawi wa maisha ya watu unabeba vitu vingi.
1. Vipato vya mtu mmoja mmoja.
2. Utoaji wa elimu Bora.
3. Ujenzi wa makazi Bora.
4. Ujenzi wa miundo mbinu Bora.
5. Ardhi na viwanja vilivyopimwa.
6. Uwepo wa ajira.
7. Uzarishaji wa bidhaa na sio uchuuzi.
8. Huduma Bora za Afya.
9. Jamii ya watu yenye uelewa na kujitambua.
10. nk.
Mbona ndivyo ilivyo? Wewe sema ukuaji wa Uchumi Kwa Sasa Bado sio mkubwa sana kuwa na far reaching multiplayer effects ,ipo Kwa kiasi Cha wastani japo Huduma za Umma zimeimarika sana hasa Afya ,Elimu na maji.
 
Tanzania Kupitia TRA inaenda Kuwapita Wakenya kwenye Makusanyo ya Kodi mwaka 2027 kwani Bado Shilingi Trilioni 3 Kuwafikia.

Hapo kabla Kenya ilikuwa imewekwa Gap la zaidi ya Trilioni 7 lakini juhudi za Serikali ya Samia kuhamasisha uwekezaji na ulipaji Kodi wa hiari zimeanza kuzaa matunda Kwa kupunguza gap kubwa lililokuwepo.

Kwa mujibu wa data rasmi kutoka taasisi hizo za Kodi ulinganishi niliodanya unaonesha kwamba Kwa kipindi Cha miezi 6 ya mwaka wa Fedha 2024/25,TRA imekusanya Shilingi Trilioni 16.5 huku KRA ya Kenya ikikushanya Kshs.1.07 (Tshs.20.T) sawa na tofauti ya Shilingi Trilioni 3.5 tuu.
View attachment 3212166

Kwa mikakati na uwekezaji Unaoendelea Nchini wa kufungua Nchi na hakika mwaka 2027 TRA itawapita Kenya na Kupeleka Kilimo kikubwa zaidi Kwa Kasongo yeye akiwa kwenye uchaguzi.

Mfano miradi ifuatayo ikianza kitema tuu basi wamekwisha.

1.Bomba la Mafuta la EACOP 2026,hapo Kuna zaidi ya Trilioni 1.

2.Ubungo Logistics Centre ,2025

3.Kukamilika Kwa mradi wa Mapipa ya Mafuta Bandari ya Dar 2026.

4.Kukamilika Kwa upanuzi wa Bandari za Dar,Mtwara ,Tanga Kilwa, Zanzibar na zile za Maziwa makuu 2027.

5.Kukamilika Kwa viwanja vya ndege zaidi ya 5 mwaka 2026

7.Utitiri na kumiminika Kwa wawekezaji hasa wa viwanda

8.Kupanuka Kwa Kasi Kwa sekta ya Utalii na Kilimo.

9.Kuanza Kwa biashara masaa 24 jijini Dar

10.Kuanza Kwa uzalishaji kwenye migodi mikubwa ya Madini hasa Kinywe Lindi na Karagwe/Kahama.

My Take
Samia ataandika historia ya kuwa Rais wa kwanza Kuipita Kenya kimapato mwaka 2027 lakini Kuipita Kiuchumi mwaka 2030.

View: https://www.instagram.com/p/DFLeLF6C3Su/?igsh=MWVwanRoZHFmbDNlZg==

Eti kuipita kenya kwa makusanyo ya kodi ndio ufanisi? Yaani utawala badala ya kupima ufanisi kwa namna gani wanainua maisha ya wananchi wanapima kwa makusanyo ambayo wanagawana vigogo wa serikali. Kenya siku zote kodi wanakusanya kuliko sisi lakini wananchi wa kawada si ndio wanalia sana? Juzi vijana wameandamana kupinga ufisadi na dhuluma. Mnaomshangilia mams ni wapenda dhuluma na ufisadi tu.
 
Eti kuipita kenya kwa makusanyo ya kodi ndio ufanisi? Yaani utawala badala ya kupima ufanisi kwa namna gani wanainua maisha ya wananchi wanapima kwa makusanyo ambayo wanagawana vigogo wa serikali. Kenya siku zote kodi wanakusanya kuliko sisi lakini wananchi wa kawada si ndio wanalia sana. Juzi vijana wamwandamana kupinga ufisadi na dhuluma. Mnaomshangilia mams ni wapenda dhuluma na ufisadi tu.
Unadhani hizo pesa zinaenda wapi kama sio kwenye matumizi ya Umma na kuinua maisha ya watu? Unataka ushahidi?
 
Tanzania Kupitia TRA inaenda Kuwapita Wakenya kwenye Makusanyo ya Kodi mwaka 2027 kwani Bado Shilingi Trilioni 3 Kuwafikia.

Hapo kabla Kenya ilikuwa imewekwa Gap la zaidi ya Trilioni 7 lakini juhudi za Serikali ya Samia kuhamasisha uwekezaji na ulipaji Kodi wa hiari zimeanza kuzaa matunda Kwa kupunguza gap kubwa lililokuwepo.

Kwa mujibu wa data rasmi kutoka taasisi hizo za Kodi ulinganishi niliodanya unaonesha kwamba Kwa kipindi Cha miezi 6 ya mwaka wa Fedha 2024/25,TRA imekusanya Shilingi Trilioni 16.5 huku KRA ya Kenya ikikushanya Kshs.1.07 (Tshs.20.T) sawa na tofauti ya Shilingi Trilioni 3.5 tuu.

View: https://x.com/BD_Africa/status/1881778910087557223?t=q-ekZhQFkuEuGSbCwr0NGg&s=19
View attachment 3212166

Kwa mikakati na uwekezaji Unaoendelea Nchini wa kufungua Nchi na hakika mwaka 2027 TRA itawapita Kenya na Kupeleka Kilimo kikubwa zaidi Kwa Kasongo yeye akiwa kwenye uchaguzi.

Mfano miradi ifuatayo ikianza kitema tuu basi wamekwisha.

1.Bomba la Mafuta la EACOP 2026,hapo Kuna zaidi ya Trilioni 1.

2.Ubungo Logistics Centre ,2025

3.Kukamilika Kwa mradi wa Mapipa ya Mafuta Bandari ya Dar 2026.

4.Kukamilika Kwa upanuzi wa Bandari za Dar,Mtwara ,Tanga Kilwa, Zanzibar na zile za Maziwa makuu 2027.

5.Kukamilika Kwa viwanja vya ndege zaidi ya 5 mwaka 2026

7.Utitiri na kumiminika Kwa wawekezaji hasa wa viwanda

8.Kupanuka Kwa Kasi Kwa sekta ya Utalii na Kilimo.

9.Kuanza Kwa biashara masaa 24 jijini Dar

10.Kuanza Kwa uzalishaji kwenye migodi mikubwa ya Madini hasa Kinywe Lindi na Karagwe/Kahama.

My Take
Samia ataandika historia ya kuwa Rais wa kwanza Kuipita Kenya kimapato mwaka 2027 lakini Kuipita Kiuchumi mwaka 2030.

View: https://www.instagram.com/p/DFLeLF6C3Su/?igsh=MWVwanRoZHFmbDNlZg==

Hamna cha kutuambia na kampeni zenu za kitapeli 2025 tutawauwa kwenye ballot box
 
Back
Top Bottom