ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tanzania Kupitia TRA inaenda Kuwapita Wakenya kwenye Makusanyo ya Kodi mwaka 2027 kwani Bado Shilingi Trilioni 3 Kuwafikia.
Hapo kabla Kenya ilikuwa imewekwa Gap la zaidi ya Trilioni 7 lakini juhudi za Serikali ya Samia kuhamasisha uwekezaji na ulipaji Kodi wa hiari zimeanza kuzaa matunda Kwa kupunguza gap kubwa lililokuwepo.
Kwa mujibu wa data rasmi kutoka taasisi hizo za Kodi ulinganishi niliodanya unaonesha kwamba Kwa kipindi Cha miezi 6 ya mwaka wa Fedha 2024/25,TRA imekusanya Shilingi Trilioni 16.5 huku KRA ya Kenya ikikushanya Kshs.1.07 (Tshs.20.T) sawa na tofauti ya Shilingi Trilioni 3.5 tuu.
View: https://x.com/BD_Africa/status/1881778910087557223?t=q-ekZhQFkuEuGSbCwr0NGg&s=19
Kwa mikakati na uwekezaji Unaoendelea Nchini wa kufungua Nchi na hakika mwaka 2027 TRA itawapita Kenya na Kupeleka Kilimo kikubwa zaidi Kwa Kasongo yeye akiwa kwenye uchaguzi.
Mfano miradi ifuatayo ikianza kitema tuu basi wamekwisha.
1.Bomba la Mafuta la EACOP 2026,hapo Kuna zaidi ya Trilioni 1 na ujenzi uko over 50%
View: https://x.com/InfraUganda/status/1882698679984812250?t=8C44ayDwx2wf8qNcNnCkUA&s=19
2.Ubungo Logistics Centre ,2025
3.Kukamilika Kwa mradi wa Mapipa ya Mafuta Bandari ya Dar 2026.
4.Kukamilika Kwa upanuzi wa Bandari za Dar,Mtwara ,Tanga Kilwa, Zanzibar na zile za Maziwa makuu 2027.
5.Kukamilika Kwa viwanja vya ndege zaidi ya 5 mwaka 2026
7.Utitiri na kumiminika Kwa wawekezaji hasa wa viwanda
8.Kupanuka Kwa Kasi Kwa sekta ya Utalii na Kilimo.
9.Kuanza Kwa biashara masaa 24 jijini Dar
10.Kuanza Kwa uzalishaji kwenye migodi mikubwa ya Madini hasa Kinywe Lindi na Karagwe/Kahama.
My Take
Samia ataandika historia ya kuwa Rais wa kwanza Kuipita Kenya kimapato mwaka 2027 lakini Kuipita Kiuchumi mwaka 2030.
View: https://www.instagram.com/p/DFLeLF6C3Su/?igsh=MWVwanRoZHFmbDNlZg==
Hapo kabla Kenya ilikuwa imewekwa Gap la zaidi ya Trilioni 7 lakini juhudi za Serikali ya Samia kuhamasisha uwekezaji na ulipaji Kodi wa hiari zimeanza kuzaa matunda Kwa kupunguza gap kubwa lililokuwepo.
Kwa mujibu wa data rasmi kutoka taasisi hizo za Kodi ulinganishi niliodanya unaonesha kwamba Kwa kipindi Cha miezi 6 ya mwaka wa Fedha 2024/25,TRA imekusanya Shilingi Trilioni 16.5 huku KRA ya Kenya ikikushanya Kshs.1.07 (Tshs.20.T) sawa na tofauti ya Shilingi Trilioni 3.5 tuu.
View: https://x.com/BD_Africa/status/1881778910087557223?t=q-ekZhQFkuEuGSbCwr0NGg&s=19
Kwa mikakati na uwekezaji Unaoendelea Nchini wa kufungua Nchi na hakika mwaka 2027 TRA itawapita Kenya na Kupeleka Kilimo kikubwa zaidi Kwa Kasongo yeye akiwa kwenye uchaguzi.
Mfano miradi ifuatayo ikianza kitema tuu basi wamekwisha.
1.Bomba la Mafuta la EACOP 2026,hapo Kuna zaidi ya Trilioni 1 na ujenzi uko over 50%
View: https://x.com/InfraUganda/status/1882698679984812250?t=8C44ayDwx2wf8qNcNnCkUA&s=19
2.Ubungo Logistics Centre ,2025
3.Kukamilika Kwa mradi wa Mapipa ya Mafuta Bandari ya Dar 2026.
4.Kukamilika Kwa upanuzi wa Bandari za Dar,Mtwara ,Tanga Kilwa, Zanzibar na zile za Maziwa makuu 2027.
5.Kukamilika Kwa viwanja vya ndege zaidi ya 5 mwaka 2026
7.Utitiri na kumiminika Kwa wawekezaji hasa wa viwanda
8.Kupanuka Kwa Kasi Kwa sekta ya Utalii na Kilimo.
9.Kuanza Kwa biashara masaa 24 jijini Dar
10.Kuanza Kwa uzalishaji kwenye migodi mikubwa ya Madini hasa Kinywe Lindi na Karagwe/Kahama.
My Take
Samia ataandika historia ya kuwa Rais wa kwanza Kuipita Kenya kimapato mwaka 2027 lakini Kuipita Kiuchumi mwaka 2030.
View: https://www.instagram.com/p/DFLeLF6C3Su/?igsh=MWVwanRoZHFmbDNlZg==