ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #161
Ulianza kusema huoni matumizi ya pesa ,nkakuleta miradi ikawa unaruka.ruka saizi uko na blaa blaa za jangwani π€£π€£Hivi wewe una akili kweli ? Pesa zinaliwa ?!!! Wewe maji unayo unayaangalia yet kuna watu maji hayatoki / Hawana access na maji!!; Kwahio Jangwani hata kama kuna mtu mmoja ni vigumu kupata maji (lakini watu wanayapata) wakati wewe ambae una ziwa unaliangalia hata bila kutumia gharama kila mtu angeweza kupata fresh water lakini haipo hivyo na unatembeza bakuli kuomba misaada ambayo majority ya pesa hizo zinapigwa (tafadhali jaribu kushirikisha ubongo wako katika comments zako)
Hivi unajua Libya kabla ya na baada ya Gadaffi ipoje / ilikuwaje ?, Hivi unajua Gabon under Bongo, ilikuwa na mafuta kiasi gani na watu wafaransa walikuwa wanayachukua na kuacha umasikini kiasi gani ?
Pili Watu wenye busara kwao watu ni mtaji wala sio hasara ukizingatia kila mtu anayeconsume (consumption) pia anatoa Tozo hivyo makusanyo ni maradufu..., na kama taifa limeshindwa kutumia nguvu kazi yake hilo ni tatizo la taifa na sio individuals waliopo, vilevile population density Tanzania bado ni ndogo sana kulinganisha na eneo; i.e. watu sio wengi hivyo resources per unit bado zipo nyingi...,
Aisee unazidi kuonyesha ulimbukeni, Moja Tanzania haina rasilimali ?, Mbili watu sio Rasilimali ?; Na kama unaongelea Natural Resources Japan in Rasilimali kiasii gani na sehemu kama Sudan na Congo wana Rasilimali kiasi gani na hali ipoje sehemu hizo zote ? Mwisho kabisa nadhani mentality kama yako ndio inasababisha hata Serikali inakopa ili baadae ilipe RIBA kuendesha miradi ya ndani ambayo ingeweza kufanyika directly bila RIBA / Mkopo wowote, wala Makusanyo kabla bali after the fact....
Kwanini Serikali Ikope Kuendesha Miradi, Wakati inaweza Kutengeneza Pesa ?
Kabla hatujaitana vichaa, kwanza kabisa tukubaliane kwamba ndicho kinachotokea sasa hivi duniani (creating money from thin Air) ingawa ni Benki ndio zinafanya hivyo... Pesa inavyotengezwa na kuongezwa kwenye Mzunguko na Benki Wewe ukienda kuomba mkopo Benki unapewa pesa ambayo Benki haina wala...www.jamiiforums.com
Tanzania Ina utajiri gani Sasa kiasi kwamba inaweza kujikuta top 10? Libya ni tajiri na Ina Watu kiduchu.Gabon haipo kwenye Nchi Tajiri wa Mafuta Afya wanabangaiza kama Uganda.By the way Watu wajinga kama wewe ndio mtaji wa Nchi? ππ
Zero brain leta mifano ya Africa sio Japan ,hao walisaisiwa na USA baada ya Vita ya 2 ya Dunia so Wacha ujinga ujinga wako.
Mwisho kazi ya kusambaza maji inaendelea pande zote za Nchi,Kila kaya itafikiwa hapa Ruvumaππ
View: https://www.instagram.com/p/DFM38TlM-s5/?igsh=MXI0YzN1em4zYWZoNw==
Samia is doing marvelous work