Kuna sehemu wananunua kilo 1 ya korosho Tsh 1,400 aisee huu ni ukatili.Ifikie hatua soko liwekewe bei dira ili kila anakuja kununua korosha ajue anaanzia wapi,Au kitaalamu imekaaje watu wanapoambiwa mnada halafu hakuna bei dira?
Tunaambiwa nchi inafunguliwa hapo... kiukwel wakati wa magufuli bei za korosho zilikuwa mzuri na pale wahuni walipokataka kushusha bei serikali ikaamua kununua na wote tukapata hela zetu ila ukiingia humu mitandaoni wahuni wakina zito kabwe wanadai watu hawajalipwa pesaKuna sehemu wananunua kilo 1 ya korosho Tsh 1,400 aisee huu ni ukatili.
Mimi sio mkulima ila nawahurumia wakulima. Imagine unauza kilo 1 ya korosho unapata pesa ambayo haiwezi kununua hata kilo 1 ya unga.
Kama msimu huu tumeletewa pembejeo ambazo kwakweli hazina matokeo mazuri na tunahisi kama zimepitwa muda wake, fikiria mimi nilijiandikisha nina mikorosho 570 ila kila wakigawa dawa napata lita 2 na siku wakigawa ya unga napata mfuko mmoja tu,kiasi kwamba hizo dawa ninazopewa hazitoshi kuhudumia shamba langu hata robo ya idadi hiyoVery sad!
Bodi ya korosho ni wajanja wanaofanya udalali kwenye zao la korosho. Katika vitu vinavyoshangaza ni kuona wakulima wanakusanya korosho zao halafu tajiri ndo anaenda kuzinunua, nadhani hii inapingana na soko huria linavyotakiwa liwe. Ilitakiwa matajiri waweke bei yao ya kubunulia mezani na iwe updated Kila mwisho wa wiki halafu mkulima achague kuuza korosho kwa bei hiyo au akaushe asipeleke korosho zake sokoni. Sasa Bodi ya Korosho hili hawalioni kuwa ni tatizo kweli au au wamejitia upofu?Ifikie hatua soko liwekewe bei dira ili kila anakuja kununua korosha ajue anaanzia wapi,Au kitaalamu imekaaje watu wanapoambiwa mnada halafu hakuna bei dira?
Dunia hii ndugu ni mbaya sana na isitoshe kwa sasa tajiri haoni hatari kumtibulia life mwenye maisha duni na ya chini,huwez kuleta bei unayotaka ww kununulia bila kuafikiana na upande wa unaeenda kumnunulia zao lake na kibaya zaidi kuna watu wanatokea sub tena ndio wasimamiz wa uuzaji wa mazao na wako kimya tu wanakubaliana na unyonyaji unaoendelea,lakini ipo siku mawe yatapiga kelele.Bodi ya korosho ni wajanja wanaofanya udalali kwenye zao la korosho. Katika vitu vinavyoshangaza ni kuona wakulima wanakusanya korosho zao halafu tajiri ndo anaenda kuzinunua, nadhani hii inapingana na soko huria linavyotakiwa liwe. Ilitakiwa matajiri waweke bei yao ya kubunulia mezani na iwe updated Kila mwisho wa wiki halafu mkulima achague kuuza korosho kwa bei hiyo au akaushe asipeleke korosho zake sokoni. Sasa Bodi ya Korosho hili hawalioni kuwa ni tatizo kweli au au wamejitia upofu?
Tumechoka kuwanufaisha wachache korosho ni Miongoni mwa mazao ambayo gharama za uendeshaji ni kubwa. Rekebisheni hapo kwenye utaratibu wa mauzo (minada).
Bora serikali iwaokoe wakulima hii sio poa kabsa,nadhani kunaujanja mdogo tu unafanyika kumuumiza mnyonge!imani yangu ni kua wanunuzi wanazihitaji korosho ili biashara yao ifanyike na ss tunahitaji kuuza ili kuendeleza uzalishaji so pasiwe na ukandamizwaji kwa mkulima.Wasijekununua korosho za wakulima kanakwamba wanafanya msaada tu.Tunaambiwa nchi inafunguliwa hapo... kiukwel wakati wa magufuli bei za korosho zilikuwa mzuri na pale wahuni walipokataka kushusha bei serikali ikaamua kununua na wote tukapata hela zetu ila ukiingia humu mitandaoni wahuni wakina zito kabwe wanadai watu hawajalipwa pesa
Mm najua na ninawaona pia wanavyohangaikia kupambania zao hlo,yaan kama wangekua na umoja wangeamua kitu wanachokifanya now ili hatma ipatikane.Kama msimu huu tumeletewa pembejeo ambazo kwakweli hazina matokeo mazuri na tunahisi kama zimepitwa muda wake, fikiria mimi nilijiandikisha nina mikorosho 570 ila kila wakigawa dawa napata lita 2 na siku wakigawa ya unga napata mfuko mmoja tu,kiasi kwamba hizo dawa ninazopewa hazitoshi kuhudumia shamba langu hata robo ya idadi hiyo
Had Sasa wameshindwa kukubaliana?Ifikie hatua soko liwekewe bei dira ili kila anakuja kununua korosha ajue anaanzia wapi,Au kitaalamu imekaaje watu wanapoambiwa mnada halafu hakuna bei dira?
Nadhani serikali imechagua kuua zao la korosho ili kulinda masilahi ya mfanya biashara. Tuendako kama wakulima tuwe na mipango mkakati.Dunia hii ndugu ni mbaya sana na isitoshe kwa sasa tajiri haoni hatari kumtibulia life mwenye maisha duni na ya chini,huwez kuleta bei unayotaka ww kununulia bila kuafikiana na upande wa unaeenda kumnunulia zao lake na kibaya zaidi kuna watu wanatokea sub tena ndio wasimamiz wa uuzaji wa mazao na wako kimya tu wanakubaliana na unyonyaji unaoendelea,lakini ipo siku mawe yatapiga kelele.
Mtwara wamegoma kuuzaDunia hii ndugu ni mbaya sana na isitoshe kwa sasa tajiri haoni hatari kumtibulia life mwenye maisha duni na ya chini,huwez kuleta bei unayotaka ww kununulia bila kuafikiana na upande wa unaeenda kumnunulia zao lake na kibaya zaidi kuna watu wanatokea sub tena ndio wasimamiz wa uuzaji wa mazao na wako kimya tu wanakubaliana na unyonyaji unaoendelea,lakini ipo siku mawe yatapiga kelele.
Mwaka Jana korosho iliuzwa mtwara na dar,kwaiyo mwaka huu wakulima wanataka mnada ufanyike mtwara pekee.Ifikie hatua soko liwekewe bei dira ili kila anakuja kununua korosha ajue anaanzia wapi, Au kitaalamu imekaaje watu wanapoambiwa mnada halafu hakuna bei dira?
Uko ndio tuliko anzia wahuni walikua wanaweka bei ndogo sana elekezi ili wapige cha juu..bodi ya korosho ilijaa wahuni watupu.Ifikie hatua soko liwekewe bei dira ili kila anakuja kununua korosha ajue anaanzia wapi, Au kitaalamu imekaaje watu wanapoambiwa mnada halafu hakuna bei dira?
U have a point hata hivyo hizi bodi lengo lao ni kunufaisha serikali na wafanyabiashara sio mkulima.Bodi ya korosho ni wajanja wanaofanya udalali kwenye zao la korosho. Katika vitu vinavyoshangaza ni kuona wakulima wanakusanya korosho zao halafu tajiri ndo anaenda kuzinunua, nadhani hii inapingana na soko huria linavyotakiwa liwe. Ilitakiwa matajiri waweke bei yao ya kubunulia mezani na iwe updated Kila mwisho wa wiki halafu mkulima achague kuuza korosho kwa bei hiyo au akaushe asipeleke korosho zake sokoni. Sasa Bodi ya Korosho hili hawalioni kuwa ni tatizo kweli au au wamejitia upofu?
Tumechoka kuwanufaisha wachache korosho ni Miongoni mwa mazao ambayo gharama za uendeshaji ni kubwa. Rekebisheni hapo kwenye utaratibu wa mauzo (minada).
Serikali ipi hii inayokaa na wafanyabiashara kabla ya msimu kuanza.Bora serikali iwaokoe wakulima hii sio poa kabsa,nadhani kunaujanja mdogo tu unafanyika kumuumiza mnyonge!imani yangu ni kua wanunuzi wanazihitaji korosho ili biashara yao ifanyike na ss tunahitaji kuuza ili kuendeleza uzalishaji so pasiwe na ukandamizwaji kwa mkulima.Wasijekununua korosho za wakulima kanakwamba wanafanya msaada tu.
Kote wamegoma..suala la kujiuliza watagoma mpaka lini??njaa haina baunsa watalegeza tu ngoja ijumaa hii tuone.Mtwara wamegoma kuuza
Worse enough!kuna watu wanatumika nadhani,just imagine mtu anakataa kuuza mazao yake kwa bei isiyokua na manufaa kwake,ila kunamtu anakuja nakusemanuzeni tu maana soko la dunia kwa upande wa korosho limeshuka hii haiko sawa,kwa sababu biashara hii sasa imegundilika kua niya baadhinya watu hapa mjini na wananufaika wao tu,Kulima na kuhudumia shamba la mkorosho ili ipatikane korosho hailingani na kuinunua na kuipeleka kiwandan the uifinalise ikatumike kulima jaman ni kugumu,wakulima wa tz ni tofauti na mataifa mengine kabsa,ukiangalia kwingine kote unakuta mkulima ana nafasi ya pili katika ubora wa maisha lakini hapa mkulima ni futionla miguu,na hii ni kwa sababu ya kulima kwa mazoea,wakulima wanapaswa kubadilika eti asipokuja mnunuzi hakuna cha kuzifanyia korosho, nonsense indeed.WAKULIMA WAACHE MAZOEA WALIME KIBIASHARA NA SIO WAMTEGEMEE MNUNUZI,HII INATAKIWA WATEGEMEANE KATI YA MKULIMA NA MNUNUZI HAPO NDIPO VALUE YA MAZAO KAMA KOROSHO YATAPANDA NA KUWA NA TIJAILA SIO MNUNUZI ANAKUJA KUNUNA KOROSHO KAMA HISANI KWA MKULIMA(MSAADA)AFU KUNA BODI YA KOROSHO INAYOTAFUNA USHURU NA KUWA NA UHAKIKA WA KILA MKULIMA AUZAPO CHAO KIPO,Had Sasa wameshindwa kukubaliana?
Duh mateso aisee na ziliivo na gharama kwenye kulimaWorse enough!kuna watu wanatumika nadhani,just imagine mtu anakataa kuuza mazao yake kwa bei isiyokua na manufaa kwake,ila kunamtu anakuja nakusemanuzeni tu maana soko la dunia kwa upande wa korosho limeshuka hii haiko sawa,kwa sababu biashara hii sasa imegundilika kua niya baadhinya watu hapa mjini na wananufaika wao tu,Kulima na kuhudumia shamba la mkorosho ili ipatikane korosho hailingani na kuinunua na kuipeleka kiwandan the uifinalise ikatumike kulima jaman ni kugumu,wakulima wa tz ni tofauti na mataifa mengine kabsa,ukiangalia kwingine kote unakuta mkulima ana nafasi ya pili katika ubora wa maisha lakini hapa mkulima ni futionla miguu,na hii ni kwa sababu ya kulima kwa mazoea,wakulima wanapaswa kubadilika eti asipokuja mnunuzi hakuna cha kuzifanyia korosho, nonsense indeed.WAKULIMA WAACHE MAZOEA WALIME KIBIASHARA NA SIO WAMTEGEMEE MNUNUZI,HII INATAKIWA WATEGEMEANE KATI YA MKULIMA NA MNUNUZI HAPO NDIPO VALUE YA MAZAO KAMA KOROSHO YATAPANDA NA KUWA NA TIJAILA SIO MNUNUZI ANAKUJA KUNUNA KOROSHO KAMA HISANI KWA MKULIMA(MSAADA)AFU KUNA BODI YA KOROSHO INAYOTAFUNA USHURU NA KUWA NA UHAKIKA WA KILA MKULIMA AUZAPO CHAO KIPO,