Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Habari za asubuhi Wana JF,

Mimi ni Mtanzania wa kawaida na kila siku nipo kwenye mizunguko yangu ya kawaida na wadau wangu wapiga debe, mamantilie, machinga, waosha magari na day workers na watumishi wa umma wote.

Kitu nime notice bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi walokuwa kwenye Serikali ya JPM, kila kinachofanyika sasahivi kinalinganishwa na awamu ilopita na mwisho inaonekana awamu ya Jpm kukubalika zaidi.

Tuwe tu wakweli wa nafsi zetu, Sukuma Gang ingekuwa Chama rasmi na kikapewa nafasi ya kumsimamisha mgombea Urais let's say Polepole, Bashungwa, Biteko au Bashiru dhidi ya January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Nape and or Mwigulu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi or kura za wazi, nani anatoboa?

IMG-20221211-WA0006.jpg
 
Hatutaki viongozi wabaya wasiopata tuzo waje watutawale tena.
Mama tangu aingie madarakani 'kila siku analamba tuzo'...
Wale wengine tangu wameingia mpaka wametoka hawajawahi kupata hata medani ya shaba...
 
Hatutaki viongozi wabaya wasiopata tuzo waje watutawale tena.
Mama tangu aingie madarakani 'kila siku analamba tuzo'...
Wale wengine tangu wameingia mpaka wametoka hawajawahi kupata hata medani ya shaba...
Tuzo zinaleta ugali mezani hapo nyumbani kwa bimkubwako?

Hivi wengine vichwani mmejaza mavi badala ya ubongo?
 
Hatutaki viongozi wabaya wasiopata tuzo waje watutawale tena.
Mama tangu aingie madarakani 'kila siku analamba tuzo'...
Wale wengine tangu wameingia mpaka wametoka hawajawahi kupata hata medani ya shaba...
Unalamba tuzo ambazo hazisaidii taifa lako kupunguza matatizo waliyo nayo wananchi wako ,

Unalamba tuzo huku taifa lako linaangamizwa na kundi dogo la watu wanao tafuna kwa kufuru fedha za serikali

Usha wahi ona mzungu anapenda kiongozi mwadilifu wa africa?

NB: simaanishi magufuli alikiwa mwadilifu
 
T
Habari za asubuhi Wana JF,

Mimi ni Mtanzania wa kawaida na kila siku nipo kwenye mizunguko yangu ya kawaida na wadau wangu wapiga debe, mamantilie, machinga, waosha magari na day workers na watumishi wa umma wote.

Kitu nime notice bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi walokuwa kwenye Serikali ya JPM, kila kinachofanyika sasahivi kinalinganishwa na awamu ilopita na mwisho inaonekana awamu ya Jpm kukubalika zaidi.

Tuwe tu wakweli wa nafsi zetu, Sukuma Gang ingekuwa Chama rasmi na kikapewa nafasi ya kumsimamisha mgombea Urais let's say Polepole, Bashungwa au Bashiru dhidi ya January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Nape and or Mwigulu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi or kura za wazi, nani anatoboa?
View attachment 2443648

Hakuna cha Sukuma Gang wote ni wafuasi wa Samiah na CCM. Watu wanadhani kukaa upinzani ni jambo jepesi. Muulize Lowassa atakwambia.
 
Wanaonekana wana uwezo kwasababu wapo ndani ya ccm wakitoka hata nyie mtawakana.
 
Wasukuma na sukuma gang ni majority hakuna namna wanatakiwa na wanao uwezo wa kuongoza nchi hii.

Tambua Mimi sio msukumu ila ni better kuwa na kiongozi na viongozi Toka kanda hyo ..Hawa jamaa hawana majivuno ,wachapakazi, hawapendi sifa ,ukifika mwanaza madogo wanamamilion ya pesa ila huwezi kujua na wala huko mitandaoni hawapo kabisa
 
Back
Top Bottom