Bagamoyo DC wa ajabu kabisa.

Bagamoyo DC wa ajabu kabisa.

Naju23

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
47
Reaction score
77
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Haya Dc wa bagamoyo kafanya mbwai kwanza?
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Hao ni chawa wa Mama kutoka UVCCM!!
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Amefanya nini?.
Siku hizi mnabahati sana na hii jf ya sasa mtu unapandisha bandiko halina kichwa wala miguu, na lipo mpaka sasa, enzi zile, bandiko kama hili linafyekelewa mbali dakika sifuri!
P
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Kwani kafanya nini mkuu? Hebu lete clip tumsikie. Umeandika kwa ufupi sana.
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Hivi Mods andiko kama hili linastahili kuwamo ktk chombo hiki bora kabisa?
Bandiko halina uso wala kisogo.
Mods, kweli? Kweli?
Iko wapi ile Jf ya GT??
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Mkuu unaandika kama sisi wote tunamfahamu huyo DC.
Andika vile vile kile kinachokusumbua hadi ukandika mada.
Kwani hajamuwakilisha mama kwa lipi tena.
Punguza munkari andika kwa vituo ili watu wajue unakoelekea.
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Huyo ni bi mdogo wa Bulembo!! Elewa ni bi mdogo
 
Back
Top Bottom